Recent content by Walcotty

  1. Walcotty

    Ushauri Kuhusu Toyota Alteza.

    Wadau naomba ushauri kuhusu Toyota Alteza, kuna ile ya 4 cylinders(3s) na 6 cylinders(1g) ipi ni nzuri?
  2. Walcotty

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Jamani hivi bado kuna watu wanatazama TBC mi toka wamtoe Tido Muhando nilishawapiga chini!!!!!!!
  3. Walcotty

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Nataka kulima mpunga mwaka ujao ila maandalizi nafanya mwaka huu nimefanya mchanganuo kuanzia kukodi shamba, maandalizi ya mbegu pia kulima na pesa ya vibalua.
  4. Walcotty

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Habari wadau wenzangu wa Jamii Forum, naomba maoni yenu juu ya kilimo cha zao la mpunga. Napenda pata mawazo yenu juu ya suala zima la kilimo cha mpunga katika kujikwamua kimaisha, nimepata kiasi kidogo cha mkopo nataka peleka katika kilimo ili maisha yaweze songa mbele. Mchango wenu wadau.
  5. Walcotty

    Hatimaye S4 yangu yapata lollipop

    Wadau nina Samsung galaxy note 4 ila bado sijapata hii updates hii imekaa vp nifumbueni macho hapo.
  6. Walcotty

    Smartphones za IPhone Ni bora zaidi?

    Elimagnifico nimekusoma mdau yaani umenipa mwanga hapo asante kiongozi.
  7. Walcotty

    Smartphones za IPhone Ni bora zaidi?

    Wadau nipeni mwanga hapa kwanini smartphone aina ya iphone ni ghari sana? Pia kwanini watu maarufu walio wengi hupenda kununua smartphone za iphone kuna nini cha zaidi?
  8. Walcotty

    Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Chief Mkwawa kimya nipe ushauri hapo afu kwanini hawa iPhone smartphone zao ni gharama pia hawajaweka ktk bei mbalimbali ka Samsung?!!
  9. Walcotty

    Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Sio yamawazo kiongozi ila nilijipanga kwa muda mrefu, napenda simu imara na yenye uwezo mkubwa, pia ninayoweza kukaa nayo kwa muda mrefu pasipo kuichoka.
  10. Walcotty

    Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Wadau nisaidieni hapo kuna kahela nilikuwa naweka ni muda sasa kametimia nataka kununua smartphone nzuri sasa napata utata kati ya Samsung galaxy not4 na Iphone 6 ni lipi chaguo bora?
  11. Walcotty

    Warning kuhusu simu za Galaxy S4, S3, Note 2 za kichina

    Chief Mkwawa nisaidie hapo kuna kahela nilikuwa naweka ni muda sasa kametimia nataka kununua smartphone nzuri sasa napata utata kati ya Samsung galaxy not4 na Iphone 6 ni lipi chaguo bora?
Back
Top Bottom