Kwa hiyo wewe sio mtanzania hivi una miaka mingapi??
Kwanza mtafute yaya wako akuvue hiyo nepi imelowana mkojo halafu urudi hapa. Tukufundishe 1+1=? halafu unjwe uji ukalale
Haya mambo hayakuhusu
Sasa na wewe ni fxxxxxxkng sasa wachagga wanhusiana nini hapa Mbeya alio.mpokea lowassa ni wachang acha upumbu wewe eti unajiita msomi wa facebook oh instagrm rudi darasani wewe pumba
Mbwa dume
mastory ya kutunga hayo hivi wewe umesoma hadi la ngapi?? Na je una miaka mingapi je hii simu ni yako ua umeiazima na je huku uliingia lini? Ukiweza kijibu hayo maswali nitakuambia jambo kama huwezi kafunge get tajiri yako asikukute unachezea simu
Tatizo la wasanii wa kwetu haswa bongo wamezoea vya kupikiwa yaani huyo mabangi Afande swele kwa akili yake kavu alizania kuwa Sugu ni mmbunge wa wasanii hiki kijamaa bwana tatizo ni uvivu wa fikra kwanini asimuulize Diamond mafanikio yake anamkimbilia Sugu daaa hizi bangi kwanini asiende huko...
Watanzania tuna safari ndefu mno hivi mtu kama Wassira amekuwepo tangu enzi za nyerere akaja mwinyi yumo akaja mkapa yumo akaja kikwete yumo na sasa hivi ataka aje na Magufuli sasa tujiulize huyu mzee ameleta mabadiliko gani zaidi ya vituko na kusinzia wakati hoja nzito zinachambuliwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.