Recent content by Wakwetu03

  1. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Mbeya City Fc Yavuna Vipaji 68

    Mbeya City Fc
  2. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Full Time: Simba SC 1 - 0 Kagera Sugar FC || NBC PL || KMC COMPLEX || 22.06.2025

    Share link kaka
  3. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba Fans' Special Thread...

    https://burudanimbeya.blogspot.com/2025/03/ali-kiba-mfalme-wa-live-performance.html?m=0https://burudanimbeya.blogspot.com/2025/03/ali-kiba-mfalme-wa-live-performance.html?m=0
  4. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania CHANGAMOTO ZA KUOMBA AJIRA ZA ZIMAMOTO KUPITIA MFUMO WAO

    Ndugu wanajukwaa,nimepata changamoto ya kuomba kazi kupitia mfumo wa kuomba kazi katika jeshi la Zimamoto. Nimefuata taratibu zote za kujisajili kwenye mfumo wa ajira ili kuomba kazi kama ilivyotangazwa hata hivyo napata changamoto katika hatua ya mwisho ya kuwasilisha maombi yangu kwani link ya...
  5. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania TUZO ZA BURUDANI MBEYA 2024

    Blog ya @burudanimbeya wanakupa taarifa ya utoaji wa Tuzo Kwa wanasanaa wote nyanda za juu kusini ikijumuisha wanamichezo na dhumuni la hizi Tuzo ni kuonesha kutambua mchango wa watu Hawa hapa nyumbani. Kikubwa tulichovutiwa SISI ni namna ya mchakato wa upigaji kura ulivyowekwa kisasa...
  6. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania BURUDANI MBEYA YAJA NA TUZO

    Burudani Mbeya imekuja na TUZO za burudani Mbeya kwenye nyanja ya MUZIKI, FILAMU, COMEDY, MODEL, VIXEN, MPIRA na HABARI kupitia platform zake za blog, YouTube channel na Instagram. Kwa maelekezo zaidi na namna ya kupiga kura fuata link hii
  7. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Mbeya yaja na Big 20

    BIG 20 Hii ni project/movement iliyoanzishwa na media personalities pamoja na wadau wa Muziki jijini Mbeya lengo kuu ikiwa ni kuhakikisha kuwa Muziki na wanamuziki wa mkoa wa Mbeya wanapata jukwaa huru na la uhakika katika kufanya kazi zao. Wakiongea na jukwaa hili waratibu wa movement hii...
  8. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Hip Hop - Rap Music na Jamii

    Mnamo Juni 1999, taasisi ya Uholanzi ya Madunia ilirekodi hali Halisi, Makala ya video ya dakika 30 kuhusu rap nchini Tanzania (Afrika Mashariki). Hali Halisi "hali halisi" msemo unaonyesha rap kama chombo mbadala nchini Tanzania. Rapa na wataalamu wanatoa maoni yao kuhusu miondoko ya hip hop...
  9. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa napoweza kupata vitabu vya social work na community development

    Naomba kujua sehemu/maduka yanayouza vitabu vya SOCIAL WORK na COMMUNITY DEVELOPMENT kwa hapa Dar es salaam
  10. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania SUGU adai yeye ndiye muasisi wa Bongofleva

    BONGO FLEVA NI STORY YA SUGU, MIKE NA TAJI JOSEPH Mbilinyi ‘2 Proud’, kazi yake “Ni Mimi" ndio wimbo wa kwanza wa Swahili Rap kusikika Radio One Stereo mwaka 1994. Vilevile akawa Rapper wa kwanza wa Swahili Rap kufanya mahojiano Radio One. Mike Mhagama, alikuwa mtangazaji wa kwanza kugonga...
  11. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?

    Hili la udhamini wa GSM sio tu litavuruga ligi lakini pia linatachafua amani ya nchi na kupelekea kumwagika kwa damu. ✍🏽
  12. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Si tuliambiwa GSM ataishia kwenye mabango? Imekuwaje tena nembo yake iwe kwenye jezi za Simba?

    Hili la udhamini wa GSM sio tu litavuruga ligi lakini pia linatachafua amani ya nchi na kupelekea kumwagika kwa damu. ✍🏽
  13. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Salama?
  14. Wakwetu03

    JamiiForums Tanzania Wimbo Bora ya Maombolezo ya JPM so Far ni Hii ya Rosa Ree, Ya wasafi Sijailewa sana

    Kaitafuteni ya Meshamazing and Mbeya all stars
Back
Top Bottom