Walikua wanaishi maisha ya kawaida baada ya mwanaume kujenga na kununua gari ndo izotabia zikajitokeza, alishakaa chini akamwambia mumewe nikiasi gani ilo jambo linavyo muumiza lakini yeye mwanaume aoni kama kunatatizo kumwachia ndugu yake
Wakuu,
Nahitaji ushauri ninarafiki yangu ameolewa lakini amekuwa amwelewi mume wake, yaani mme wake anaamini ndugu zake kuliko mke wake, waga akisafiri funguo za gari anamwachia ndugu yake ambaye ni mdogo wake kodi za wapangaji mdogo wake ndo anapokea.
Akimwambia kwanini anafanya hivyo...
Habari wana jf wenzangu! Naombeni msaada ninatumia cm aina ya lg lakini nashangaa tangia Jana nikizima data inajiwasha yenyewe pamoja na Wi-Fi zinawaka kwa pamoja alafu Mara kuna matangazo ya apps yanajitokeza kwa wingi sijui tatizo nini, maomba mwenye ujuzi na mambo ya cm anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.