Nimueleweje huyu mwanamke?

Nimueleweje huyu mwanamke?

Ukiwa mgeni wa mapenzi ni sheeedah sana. Unaletewa sanaa za kiduwanzi but still unashindwa kuamua kiume! Rudi kahama kwenye mishe zako, mpotezee uyo demu. Akikutafuta, mwambie yeye ndo aje Kahama, kama hawezi... mwambie afucck-off! Simple like that. Acha kulia lia apa, kama mapenzi magumu achana nayo, fanya mambo mengine!
 
Eti ujamla kwani kawa chakula, maneno mengine bwana ya kudhalilishana khaaaa!!
 
Teh teh nachekaaa hadi basi kwa vituko vya humu ndani.
Awali nikajua ni jamaa yangu ndo ameamua anichomekee humu JF anavyoona ninamzungusha baada ya kusoma vizuri nikagundua sio mimi dodo.
Mi jamaa yangu yuko Tanga tuna mwaka wa pili hatujawahi kuonana wla hatujuani usoni ni picha tu za whatsup basi ila tunapendanaaaaa!!! Sasa sijui kama ni ukweli au la maana miaka inazidi kwenda tunasema tu I love You mwaa bila kujuana live. Tanga to Iringa a bit distance eti?? Inakaribia mwaka wa tatu mi bado nasubiri hadi aseme live kwamba sasa tumeachana ndo nimdelete.
 
Nafikiri kuna kitu anakificha kwa kuogopa labda ukikijua utakata mguu...lakin pia yawezekana ni mjeruhiwa...
 
Back
Top Bottom