Ni real bro unaambiwa na dalali hao wacongoman wanahasira hasira usisogee kwenye mzigo wanaweza wakazila wasinunue, pale ni Jau sana ila nikapata majibu kutokana na kua mgeni wa soko labla na mtaji mdogo ndo nahisi ilikua ya wao kufanya hivyo ila sizan kama wanafanya hivyo kwa wengine
Habari za mapambano wanajamvi kama mada ilivyo hapo juuu. Nimekuwa nafanya biashara ya mazao (mahindi, maharage,mpunga,alizeti) kwa mda wa miaka zaidi mitatu yaaani mimi natafuta mzigo vijijini maeneo ya songwe na Rukwa napeleka soko la tunduma mataifani pia soko la mbalizi. Kuna baadhi ya mambo...
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea...
Nawapongeza ila nawashauri apo inabidi itoe tena mkopo kwa wahitumu ambao hawana sifa za kukopesheka na taasisi za kifedha ili wapate mitaji na kuwalipa madeni yao yote bila kubaki ata moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.