Recent content by wakusanda

  1. wakusanda

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kwenye mechi za hivi karibuni ambazo ENZO hachezi .. timu inakua na muunganiko mzuri wa kuchambulia .. hongera wana chelsea
  2. wakusanda

    Msaada: Nina aibu kupita kiasi, nifanyeje kuondokana na hali hii?

    ACHA KUPIGA NYETO . Utakuja kunishukuru mbeleni .. nyeto inaondoa kujiamini .
  3. wakusanda

    Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

    Msio amini uwepo wa Mungu mnajichagulia njia ya "KIPUMBAVU SANA" ... Haya fanya Mungu hayuko, inakuongezea nini au kukupunguzia nini zaidi ya KUJIFANYA MJUAJI SANA ( unasoma biblia ili utafute makosa) Naita njia ya kipumbavu kwa sababu moja tuu . Ikitokea mimi ninae Muamini Mungu nikifa...
  4. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Na wao pia furaha yao kwangu ni upumbavu tuu .. Cha muhimu kila mtu ajitafutie furaha yake .[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Kipi bora katika haya maisha zaidi ya FURAHA ??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] UMIA KIMYA KIMYA
  6. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Kwa jinsi hiyo kichwa inavyo tokota hukawii kusema cr7 kabeba kombe la dunia .. KAMA MCHEZAJI UNAE MSHABIKIA NA UNAE MUONA BORA, KAMA HANA KOMBE LA DUNIA HUYO HANA TOFAUTI NA KIBU DENIS.. maana wote hawajabeba kombe la dunia
  7. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Ya 1998 ulichukua wewe ?? Kweli wewe mgonjwa hahahahah
  8. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Huo ndio mpira ( mchezo wa kugusana ) kama hutaki watu wagusane kashabikie tennis .... Ukimgusa mwenzio vibaya penalty ukishika penalty . Nikuulize swali> penalty gani haikua ya halali ?? Au unataka penalty zitolewe mpaka mtu akatike shingo au mguu? .. hata penalt 100 zinaeza kutolewa kama...
  9. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Hilo liko wazi kabisa umri ni tatizo kwenye mpira, kwa hiyo kiwango lazima kishuke kwa mchezaji yeyote yule .. ILA kwa umri wake huo mkubwa Messi wa 2022 alikua hatari sana kuliko hata yule messi wa 2014 kwenye kombe la dunia !! MACHO YALISHUUDIA ALIYOYAFANYA KOMBE LA DUNIA .
  10. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Kwani uelewa wako kwenye mpira ndio umeishia hapo ... Mwaka 2013 franck Ribery anachukua UEFA, BUNDESLIGA, DFP POKAL, UEFA SUPER CUP na CLUB WORLD CUP .. alimaliza na magoli 26 na assist 27 ... Lakini alikosa ballon d'or... Akachukua CR7 ambae alichukua LALIGA hahahahhaha ... HIVI WEWE...
  11. wakusanda

    Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

    Ni mwaka gani ambao adebayor alimaliza hata 10 bora kwenye ballon d'or ??? . Timu karibia zote alizo cheza adebayor enzi zake hazijawahi kuchukua kombe lolote la maana ataanzaje kuwa kwenye kinyang'anyiro cha kupokea tuzo ? .. yaani adebayor aalikwe kwenye sherehe za ballon d'or aache kwenda...
  12. wakusanda

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Willhard aka nuru !!
  13. wakusanda

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    De gea " to be sincere maguire remains the toughest opponent i've ever faced "[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. wakusanda

    Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

    Kutoka nilipo mpaka kufika huko kwako ni masaa matano ila wewe unataka ndani ya lisaa limoja niwe nimefika
  15. wakusanda

    Nimetapeliwa nauli na mrembo niliyekutana naye mtandaoni

    SI KWELI !! Hapo umedanganya !! Namba yako kama inaishia na 928 basi ni wewe ... HAUNA UVUMILIVU KABISA
Back
Top Bottom