Recent content by Wakunyumba88

  1. Wakunyumba88

    Kuvuja kwa siri ya kikao cha CC ya CCM mapema ni matokeo ya sera za Magufuli kiuongozi

    Uchambuzi mzuri. Ngoja tuone itakuwaje maana ndio kwanza picha linaanza.
  2. Wakunyumba88

    Tamko la Kambi Rasmi ya Upinzani kuhusu uamuzi wa MCC kusitisha mahusiano na Tanzania

    Fedha za wamarekani huku watu povu lawatoka, sisi waafrica ni shida.
  3. Wakunyumba88

    Trilioni 1. 05 (Tshs) za MCC kwa Tanzania ilikuwa ndoto ya mchana

    Ni jambo la kuvumilia na tusiishi kwa mazoea ya kusaidiwa saidiwa tujipange kutafuta vyetu tuache wizi na ufisadi.
  4. Wakunyumba88

    Trilioni 1. 05 (Tshs) za MCC kwa Tanzania ilikuwa ndoto ya mchana

    Vizuri sana hela zao maamuzi ya kwao hatuwalazimishi.
  5. Wakunyumba88

    Msaada makadirio ya paving blocks

    50 blocks per square metre
  6. Wakunyumba88

    Dstv mnatuonea

    Packed ipi hiyooo
  7. Wakunyumba88

    Magufuli, unayajua ya Hazina na Msajili wake mpya?

    Baada ya mchakato mzima na kwasababu ya maslahi mapana ya nchi hii tuliona Mafuru anafaa kuliko wenzake though CV yake haikuwa na uzito kuliko wenzake, kuchukua nafasi kama ile issue sio tu a good CV sababu ni nyingi ambazo nyingine zinapima upana wa weledi kati ya applicants, alitosha kuchukua...
  8. Wakunyumba88

    Rais Kikwete: Wageni wasiporuhusiwa kununua nyumba NHC zitadoda

    NHC ilianzishwa kama shirika la umma kusaidia swala la makazi nafuu kwa watanzania lakini huyu boss wao bila kujali misingi ya uwanzishwaji wa shirika hilo anakopa bank na kujenga miradi mikubwa ambayo mwisho wa siku inakosa wateja maana watanzania wengi hawaimudu kutokana na bei kubwa ambayo...
  9. Wakunyumba88

    Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa wasema hawakubaliani na Uamuzi wa Kamati Kuu(CC)

    Haujui thats why unasema hivyo..ungekiona alichokifanya Nchimbi kwa kikao ungekubali hiyo hoja...its true the guy ni hero..alithubutu kupambana.
  10. Wakunyumba88

    Mawakili waandaliwa kupinga mgombea CCM Mahakamani kanuni zikivunjwa

    Waache wafungue kesi hukumu ikitolewa tayari uchaguzi mkuu ushafanyika sasa sijui mtafanyaje
  11. Wakunyumba88

    Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    Kama na yeye kakatwa je?
Back
Top Bottom