Recent content by wakumwamasaga

  1. W

    Haya hapa makundi matatu muhimu yanayoiunga mkono CCM

    Mkuu hongera umeiitahidi kujibu kwa hoja na ndo ukweli wenyewe ulioandika.
  2. W

    Haya hapa makundi matatu muhimu yanayoiunga mkono CCM

    Jingalao, naona kwa mtazamo wako ni kuwa makundi yote yanamkubali Magufuli, kitu ambacho si kweli
  3. W

    Lowassa: Nitaongoza nchi kwa spidi ya Magufuli

    Wekeni ushahidi basi,mtuwekee video clip. La sivyo ni ngumu kumeza hii propaganda
  4. W

    TCRA mpo? Naomba ufafanuzi kuhusu kipande kilichorushwa na Star Tv mara tu baada ya habari

    Kuacha kununua king'amuzi cha Continental haisaidii chochote maana Star Tv inapatikani kwenye ving'amuzi vingi sana hadi DSTV unaipata. Na pia kutonunua king'amuzi cha Continental sijui itasaidia vipi kuiondoa CCM madarakani.
  5. W

    Msanii jela miaka 10 kwa kumiliki fisi

    duh inatia hasira kuona mtu mnyonge anahukumiwa miaka kumi kwa kosa la kumiliki fisi,ila kwa maeneo ya vijijini hasa usukumani wacheza ngoma wamekuwa wakitumia fisi tangu zamani sana,sijui imekuwaje huyu kakamatwa. huenda kuna fitina.
  6. W

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya 13 wapya, ahamisha wengine 7

    Hawa wakuu wa wilaya naona wamepewa ukuu baada ya kuanguka kura za maoni ya ubunge. Rais kaamua kuwaokoa kwa kuwapa ukuu wa wilaya
  7. W

    Misungwi CHADEMA Operation Toroka Uje!

    Kuna mgombea yeyote wa upinzani wa kumtetemesha Kitwanga katika chaguzi wa mwaka huu? ongea kihalisia sio kishabiki
  8. W

    Misungwi CHADEMA Operation Toroka Uje!

    Kamanda hiyo nyomi ya watu utashangaa matokeo yatakapotangazwa. Nakuhakikishia kwa Misungwi ubunge Kitwanga wa CCM atashinda wa kura nyingi sana, wapinzani hawatapata hata nusu ya kura zake.
  9. W

    Misungwi CHADEMA Operation Toroka Uje!

    kwanini mgombea ubunge jimbo la Misungwi kupitia CHADEMA kwa mwamvuli wa UKAWA hafanyi kampeni? Au kapima kina cha maji akaona ni kupoteza muda kupamabana na Charles Kitwanga?
  10. W

    GE2015 Amini Usiamini, Kama Mwalimu Angekuwa Hai Hadi Leo!, Angemsupport Edward Lowassa!.

    @Pasco hujafanunua au kueleza ni kipi ambacho kingemfanya Mwl Nyerere awe upande wa Lowassa kiin hiki, badala yake umejaribu tu kueleza jinsi ulivyokuwa karibu na mwalimu Nyerere. Hebu fafanua zaidi, usiishie tu kusema ulifanya naye mahojiano.
  11. W

    Yeyote anaehitaji mtoto mwezi mmoja tu mimba

    Mwambie huyo mzee ahamie mjini kwenye miji mikubwa kama Dar, Arusha n.k. kuna mburula wengi sana atawakamata na kumtajirisha.
  12. W

    TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Poleni ndugu na jamaa. R.I.P Kombani
  13. W

    Huu ni wakati wa Anna Mghwila

    Wagombea wengine kama akina Hashim Rungwe, Anna Mghwira, n.k. bora wangegombea tu ubunge au udiwani. Kwenye urais hawatoshi.
  14. W

    CCM imechoka, tuitoe!

    Mkuu ulichosema kina mantiki,ila kwavile wanaotaka hayo maadiliko wameamua kujitia upofu na ukiziwi wakiendeshwa na mihemko.
  15. W

    CCM chali Mkoa wa Dodoma

    Mkuu nadhani wewe Dodoma ni mpitaji sio mwenyeji wala mkazi wa hapa. Kwa mkoa wa Dodoma sio rahisi kwa vyama vya upinzani kupata hata jimbo moja. mfano Dodoma mjini, Antony Mavunde hata akiacha kuendelea na kampeni leo ataibuka na ushindi wa kishindo. Subiri Oktoba ndo utaamini, watu wa Dodoma...
Back
Top Bottom