Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Siamini katika ushirikina
Ila Mimi sio mjinga saana kuamini katika mambo ya kizungu na kupuuza asili yetu waafrica!
Tucut story twende kwenye mass
Kuna rafiki yangu alikuwa ana shida ya uzazi miaka kumi hv.kamaliza vipimo vyote.
Katika kutembea akakutana na Mzee mmoja yupo mabogini huko moshi
Yule Mzee bwana unatakiwa uwe na mwenzako
Akiwacheki Tu hvi anajua mwenye tatizo
Mnatakiwa muwe na mayai na asali anawachanganyia Dawa yake humo mnakunywa hapo hapo mnapewa kitanda mnafanya yenu. Maana Dawa ina muhemko sana ile
Yaani ndo mimba hyo.
Hata uweje labda uwe huna kizazi pia tiba yake ni bureer! Ukifanikiwa utampa tu zawadi ukijiskia kama sukari mchele au chochote mizimu yake haipendi anasa so vitu vya gharama mfano magari hapokei
zi.
Ila Mimi sio mjinga saana kuamini katika mambo ya kizungu na kupuuza asili yetu waafrica!
Tucut story twende kwenye mass
Kuna rafiki yangu alikuwa ana shida ya uzazi miaka kumi hv.kamaliza vipimo vyote.
Katika kutembea akakutana na Mzee mmoja yupo mabogini huko moshi
Yule Mzee bwana unatakiwa uwe na mwenzako
Akiwacheki Tu hvi anajua mwenye tatizo
Mnatakiwa muwe na mayai na asali anawachanganyia Dawa yake humo mnakunywa hapo hapo mnapewa kitanda mnafanya yenu. Maana Dawa ina muhemko sana ile
Yaani ndo mimba hyo.
Hata uweje labda uwe huna kizazi pia tiba yake ni bureer! Ukifanikiwa utampa tu zawadi ukijiskia kama sukari mchele au chochote mizimu yake haipendi anasa so vitu vya gharama mfano magari hapokei
zi.