Iran ina nguvu za kuangusha drone ya USA?
Iran ina uwezo wa kupigana vita na Irak (iliyokuwa inaungwa mkono na western super powers zikiwemo USA) kwa miaka minane bila kusimama wala kutetereka?
Iran inaweza ku-survive vikwazo vya USA tangu mwaka 1978 alipopinduliwa kibaraka wa USA Shah wa Iran...
Siyo lazima mu-Iran apige ndani ya USA; lakini anaweza kujibu mapigo kwa kushambulia maslahi ya USA yaliyoko eneo la mashariki ya kati ikiwa ni pamoja na manowari na nchi rafiki kwa USA zinazomuunga mkono kama Saudia, Israel na wengineo.
Ni kawaida, ukimdhuru mtu kama hawezi kukudhuru wewe...
Mkuu Sijijui; shusha orodha ya hao wateule kutoka Chato kuthibitisha hoja yako kwamba wako "over 50%" ya wakurugenzi wote wa miji, wilaya, majiji na ma-RAS. Wewe ni JF Expert Member; ni muhimu neno lako likaambatana na ushahidi wa majina ya hao wahusika.
I M E Z U I L I W A.
Kama ni utaratibu au siyo utaratibu wewe unataka kujua ili iweje? Maana haikuhusu; ingekuhusu ungeyajua hayo!! Licha ya hayo yote, wewe unaathirika nini na kitendo cha mtu kuning'iniza vazi lake kwenye viti vya gari lake? Je, kama ni ishara yao kwa mambo yao ya kikazi...
Kongole mkuu, umenyoosha hiyo; kama ni wa kuelewa watakuelewa, kama si wa kukuelewa hawatakuelewa. Wahenga walisema " la kuvunda halina ubani". Tusubiri.
Vyote vinne viko pamoja kwenye eneo la ukubwa wa Mita 80 kwa Mita 33. Eneo limepimwa na lina hati.
Ukubwa wa kila Kiwanja ni Mita 20 kwa Mita 33.
Bei ya kila Kiwanja ni T.Shs 15,000,000/= (Maongezi yapo)
Miundo mbinu yote muhimu kama barabara, maji na umeme vipo.
Kwa mawasiliano zaidi piga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.