Maswali ya kujiuliza juu ya Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station

maswali ya kujiuliza
kunauhitaji gani wa hii project kwa sasa?
Je huu mradi ni kipaumbele cha Taifa?.
Je ukitengenezwa huu mradi wa umeme na viwanda vikaamua kutumia nishati tofauti kama vile solar tutafanyaje kama taifa ?
Je uchunguzi umefanyika wakutosha na kugundua kwanini viwanda vingi duniani havitumii aina ya nishati tunayotaka kutumia?
Je gharama za mradi huu tumelinganisha na gharama za miradi mingine ya umeme kwa kutumia chazo tofauti cha nishati kama vile jua au upepo, pamoja na gharama za uendeshaji?
Je hao wanyama tutakao wapoteza hawana thamani kama faru John? Zilitumika nguvu nyingi sana kumtafuta faru John na inatumika nguvu kidogo kuangamiza makundi ya wanyama wa kila aina.

zaidi ya miti milioni 2.6 kukatwa idadi hii ya miti tutaweka historia ya dunia katika uharibifu wa mazingira . Kwahili jambo ni hatari kwa sasa na zaidi kwa kizazi kijacho.
Kwanini tuharibu mazingira kwa ukubwa huu wakati tunauwezo wa kutumia jua na upepo kuendeshea viwanda, na matumizi mengine na tuna makaa ya mawe.
Dunia nzima tuna tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa (sisi wenyewe ni mashahidi ndani ya nchi yetu ) yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira.



Angalia mazingira ya selour Game Reserve yalivyo mazuri wanataka pabaki ukiwa, Tunza mazingira yakutunze. View attachment 1090086View attachment 1090088


If you cut a tree, you kill a life.
If you save a tree, you save a life.
If you plant a tree, you plant a life.


Wind turbines provide 8% of U.S. generating capacity, more than any other renewable source.


Top 10 Companies Using Solar Power (Based on Megawatts Installed)

  1. Target Corporation (147.5 MW). Target’s goal is to increase its number of buildings with rooftop solar panels to 500 by 2020. The retailer currently has 300 buildings equipped with panels.
  2. Walmart (145 MW). In 2005, Walmart’s chief executive officer at the time, Lee Scott, said, “Climate change used to be controversial, but the science is in and it is overwhelming. Every company has a responsibility to reduce greenhouse gas emissions as quickly as possible.”
  3. Prologis (107.8 MW). Prologis — an owner, operator and developer of industrial real estate — has put in more solar capacity than 27 different U.S. states.
  4. Apple (93.9 MW). A former administrator of the Environmental Protection Agency (EPA), Lisa Jackson, is now the Apple executive overseeing environmental policy, social initiatives and worldwide government affairs.
  5. Costco Wholesale (50.7 MW). The solar array on Costco Wholesale’s warehouse in Lake Elsinore, Calif., covers 45,000 square feet, which will prevent 458 tons of carbon from going into the atmosphere every year. The developers have compared this to planting 112 acres of trees.
  6. Kohl’s (50.2 MW). As of the end of last year, retailer Kohl’s had 163 solar power systems activated in 15 states.
  7. IKEA (44 MW). Ninety-one percent of IKEA stores are powered by the sun.
  8. Macy’s (38.9 MW). By the end of 2016, Macy’s is scheduled to install additional solar power systems on its facilities, for a total of 113.
  9. General Growth Properties (30.2 MW). In 2015, real estate investment trust GGP reduced its overall carbon footprint by 23,200 metric tons of carbon dioxide, which is the equivalent of removing nearly 5,000 cars off the roads in the U.S.
  10. Hartz Mountain Industries (22.7 MW). “Solar power represents both a means to be kinder to the earth by reducing pollution and is a significant factor in reducing our operational expenses,” said Emanuel Stern, president and chief operating officer for Hartz Mountain Industries, which deals in commercial real estate.
Mtahangaika sana lakini haturudi nyuma. Hapa Kazi Tu!!
 
Tunahitaji uhuru wa nishati, baada ya gharama za ujenzi hakuta kuwa na gharama za kutafuta malighafi kuzalisha umeme (maji yapo bure).

Haswa, kwa kuwa Tanzania tulisha kuwa tumepigwa loba na wajanja. Mafisadi walishaweka mirija ya kutunyonya kwa miaka mingi kwa kusaini mikataba na wamiliki wa visima vya gesi. Wote hao wakimiliki zaidi ya asilimia 80% na watanzania tukimiliki asilimia kiduchu. Hivyo Rais Mgufuli ametuokoa wananchi kwa kuwapiga mafisadi chenga/kanzu/tobo kama Okocha vile.

Umeme wa Solar hauna nguvu ya kuendesha viwanda, unaweza kutumia kuwashia taa na vitu vinavyohitaji umeme mdogo (wattage) ila kuendesha viwanda vinavyoendesha mashine nzito haufai.

Sababu kubwa ya nchi nyingi kutokutumia umeme wa maji ni kutokana na kutokuwa na vyanzo, wenzetu walisha tumia vyanzo vyote (exhausted all options). Kujenga bwawa la umeme lazima uwe na chanzo cha maji ya kutosha halafu kuwe na kina pamoja na kingo mbili. Ni sehemu chache sana duniani zina jiografia hiyo.

Tatizo la njia za upepo ni eneo kubwa litakalohitajika kuzalisha kiasi kama hicho cha bwawa, hii inamaanisha kutahitajika mapanga boi mengi sana ambayo gharama yake ni kubwa sana. Siyo hivyo tuu kwakuwa ni mengi, kuyaendesha kutahitaji wafanyakazi wengi. Mapangaboi huwa na umri wa miaka 25 (lifespan) hivyo baada ya muda huo itabidi serikali igharamie upya ubadilishwaji wa mapangaboi.

Watapotea kivipi, eneo litakalo tumika ni 3% ya hifadhi, wanyama siku zote wanatembea kutafuta maji, malisho na sehemu za kujificha, kama wakiona sehemu hiyo si rafiki wataenda kwenye eneo la 97% lililobaki.

Katika mradi wowote huwa kuna yale majukumu ya kijamii, ni dhahiri hilo watalizingatia.

Nani kakwambia umeme wa jua unatumika kuendesha viwanda? Baada ya nishati ya jua kubadilishwa kuwa umeme ni lazima ihifadhiwe kwenye betri, sasa ili uweze kuzalisha kiasi kikubwa cha umeme, ni lazima uwe na eneo kubwa sana ambalo kwanza itabidi uharibu mazingira (kukata miti), pili lazima uwe na kiasi kikubwa cha betri. Betri hizi huwa ni zile za Lithium ion (kwa kuwa zina nguvu) ambazo ni ghali sana na pia baada ya muda inabidi zibadilishwe, hivyo gharama za uendeshaji kuongezeka mara dufu.

Hao uliookoteza huko wanaotaka kutumia umeme wa jua ni ma supermakert na siyo viwanda. Wameamua kufanya hivyo si kwasababu ya kupenda sana mazingira bali kupunguza gharama za uendeshaji wa huduma zao ili kuongeza faida.

Walmart kwa mfano, biashara yao imesimamia maneno haya, "Low Price" sasa ili wauze kwa bei ndogo ni lazima wapunguze gharama kwingine. Wamekuwa wakiwaminya supplers wao kwa miaka mingi kwa kununua bidhaa kwa bei ndogo, huku wakiwalipa wafanyakazi wao ujira mdogo, bila maslahi (benefits), mpaka vyama vya kulinda wafanyakazi (unions) walivikataa visianzishwe.

Jamaa hawakutosheka, wakaona wapunguze "middlemen", wakaanza kutengeneza bidhaa zao wenyewe zenye brand name "great value". Sasa naona investors wanataka kukamua zaidi hivyo menejimenti wameona wajitengenezee umeme wao wenyewe kunguza gharama.

Kwa hiyo ndugu, usipende kunyweshwa kila kitu unachopewa, jiongeze.
Daah, mkuu CHAMOTO umejibu hoja zote kwa uweledi uliotukuka, Watanzania tuwe makini na watu weupe na tuache ushabiki tu
 
Mnawalaani MABEBERU wakati waliwasomesha mababu zenu hadi ninyi wenyewe ili wawakamue vizuri?

Hata huyo unayemtetea ni walewale,wala hana tofauti na watangulizi wake.

Unaweza ukajifanya hujui,lkn niambie ...wenzake waliuza gesi kwa MABEBERU,alichukua hatua gani?

Lodilofa kauza migodi yote ya dhahabu kwa mkataba wa ki mangungo...kachukuliwa hatua gani?

Ruksa ....kuna mkataba wa TEGETA APTL nambie..mzee meko kachukua hatua gani?

Hivi...hizi ndege zetu zimenunuliwa kwa shs ngapi? Ww unajua?

Kule chato kuna uwanja wa ndege wa kimataifa..jiwe hapigi hela?

Tuko chini ya mkoloni mweusi ccm,tujitambue.

Kazi iliyopo ni utekaji,ni mauaji,kupoteza watu.sheria nyingi zisizo kichwa wala miguu..etc

Mkoloni tuliye naye ni janga la taifa...tujitambue
Sioni kama chama kinaweza kuleta tatizo. Mchanga ukiingia jichoni hawatoi jicho. punguza munkari mkuu kila nabii na kitabu chake. Kiongozi sio nabii na asiwe na mapungufu. Mazuri yanayofanywa apongezwe na anayosahau ashauriwe kwa hekima lakini si kwa majina yakukinaisha.
 
Awamu ya nne trillions zilitumika kuhusu umeme wa gesi na bomba kujengwa kwa gharama kubwa sana. Na tulihakikishiwa kwamba matatizo ya umeme Tanzania yatakuwa history.

Huyu mwizi na fisadi tangu aingie umeme wa gesi hauzungumzii tena kaja na lake ili afanye ukwapuzi wa kufa mtu.

Bomba la gesi toka Mtwara lililojengwa kwa trillions za walipa kodi sasa linatumika kwa asilimia 6 tu huku 94% ikiwa idle. Huu ni ubadhirifu mkubwa wa pesa za walipa kodi unaofanywa na huyo nduli wa magogoni.
Hizo "trillions" zilikuwa za pesa za Zimbabwe? Au za kusadikika?
 
maswali ya kujiuliza
kunauhitaji gani wa hii project kwa sasa?
Je huu mradi ni kipaumbele cha Taifa?.
Je ukitengenezwa huu mradi wa umeme na viwanda vikaamua kutumia nishati tofauti kama vile solar tutafanyaje kama taifa ?
Je uchunguzi umefanyika wakutosha na kugundua kwanini viwanda vingi duniani havitumii aina ya nishati tunayotaka kutumia?
Je gharama za mradi huu tumelinganisha na gharama za miradi mingine ya umeme kwa kutumia chazo tofauti cha nishati kama vile jua au upepo, pamoja na gharama za uendeshaji?
Je hao wanyama tutakao wapoteza hawana thamani kama faru John? Zilitumika nguvu nyingi sana kumtafuta faru John na inatumika nguvu kidogo kuangamiza makundi ya wanyama wa kila aina.

zaidi ya miti milioni 2.6 kukatwa idadi hii ya miti tutaweka historia ya dunia katika uharibifu wa mazingira . Kwahili jambo ni hatari kwa sasa na zaidi kwa kizazi kijacho.
Kwanini tuharibu mazingira kwa ukubwa huu wakati tunauwezo wa kutumia jua na upepo kuendeshea viwanda, na matumizi mengine na tuna makaa ya mawe.
Dunia nzima tuna tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa (sisi wenyewe ni mashahidi ndani ya nchi yetu ) yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira.



Angalia mazingira ya selour Game Reserve yalivyo mazuri wanataka pabaki ukiwa, Tunza mazingira yakutunze. View attachment 1090086View attachment 1090088


If you cut a tree, you kill a life.
If you save a tree, you save a life.
If you plant a tree, you plant a life.


Wind turbines provide 8% of U.S. generating capacity, more than any other renewable source.


Top 10 Companies Using Solar Power (Based on Megawatts Installed)

  1. Target Corporation (147.5 MW). Target’s goal is to increase its number of buildings with rooftop solar panels to 500 by 2020. The retailer currently has 300 buildings equipped with panels.
  2. Walmart (145 MW). In 2005, Walmart’s chief executive officer at the time, Lee Scott, said, “Climate change used to be controversial, but the science is in and it is overwhelming. Every company has a responsibility to reduce greenhouse gas emissions as quickly as possible.”
  3. Prologis (107.8 MW). Prologis — an owner, operator and developer of industrial real estate — has put in more solar capacity than 27 different U.S. states.
  4. Apple (93.9 MW). A former administrator of the Environmental Protection Agency (EPA), Lisa Jackson, is now the Apple executive overseeing environmental policy, social initiatives and worldwide government affairs.
  5. Costco Wholesale (50.7 MW). The solar array on Costco Wholesale’s warehouse in Lake Elsinore, Calif., covers 45,000 square feet, which will prevent 458 tons of carbon from going into the atmosphere every year. The developers have compared this to planting 112 acres of trees.
  6. Kohl’s (50.2 MW). As of the end of last year, retailer Kohl’s had 163 solar power systems activated in 15 states.
  7. IKEA (44 MW). Ninety-one percent of IKEA stores are powered by the sun.
  8. Macy’s (38.9 MW). By the end of 2016, Macy’s is scheduled to install additional solar power systems on its facilities, for a total of 113.
  9. General Growth Properties (30.2 MW). In 2015, real estate investment trust GGP reduced its overall carbon footprint by 23,200 metric tons of carbon dioxide, which is the equivalent of removing nearly 5,000 cars off the roads in the U.S.
  10. Hartz Mountain Industries (22.7 MW). “Solar power represents both a means to be kinder to the earth by reducing pollution and is a significant factor in reducing our operational expenses,” said Emanuel Stern, president and chief operating officer for Hartz Mountain Industries, which deals in commercial real estate.
tutawalazimisha, wakikataa waende zao, ndio maneno yetu!
 
kama unaijua jiografia ya Tanzania vizuri utaelewa kuwa vyanzo vya mto rufiji vinatoka nyanda za juu kusini ambako muinuko wake kutoka usawa wa bahari ni kwenye wastani wa mita 1,700 (5500ft). Kukupa picha ya muinuko huo ni sawa na kupanda theluthi moja ya mlima kilimanjaro. Vyanzo hivi ni vingi vikiendelea mpaka Iringa kwenye muinuko wa mita 1,500 (5,090 ft) kutoka juu ya usawa wa bahari.

Kama umewahi kufika nyanda za juu kusini utaona kiasi cha uoto wa asili kilichopo kule, si mchezo. Kuwa na uoto wa asili ni kiashiria chanya na cha uhakika wa maji na katika vitu ambavyo huwezi kudanganya kwa muda mrefu dunia hii ni asili. Angalia Dubai wanavyohangaika kutumia mabilioni ya dola kupendezesha jangwa lakini wapi, bado kukavu.

Kiasi cha uoto wa asili uliopo kule na jinsi kusini ilivyoinuka "inakuwa rahisi na karibu kuivuta mvua huko mbinguni :), (not really but you get the point).

kiasi hicho kikubwa cha uoto kinatengeneza mvuke mwingi unaotengeneza mvua nyingi ambayo inaotesha mimea mingi, inayokuja kutoa mvuke mwingi unaokuja kuleta mvua nyingine nyingi (alichonacho ataongezewa). Mvua hizo zote ndiyo zinatengeneza vyanzo vya mto rufiji huko chini kwenye bwawa.

Kwahiyo usikonde sana, bwawa haliwezi kukakuka leo wala kesho.
aisee hongera mkuu bado unawajibu tu hawa viumbe tena kwa ustaarabu wa hali ya juu, ubarikiwe sana
 
aisee hongera mkuu bado unawajibu tu hawa viumbe tena kwa ustaarabu wa hali ya juu, ubarikiwe sana
Asante.

Wakati mwingine inabidi tuchukuliane taratibu na tueleweshane kidogo kidogo, huwezi juwa... wengine wanapinga kitu kwa kuwa hawana taarifa sahihi.
 
Hoja nzuri but inaupumbavu mwingi sana..

#1..solar ni umeme wakipumbavu sana sijui kwanini mnangangana na huu upuzi wawazungu.
#2..Mazingira yapi wewe unazungumzia, au ndio huo upuzi wa "Paris Agreement" na global worming..?!FAKE
#3..Umeme wa maji ndio umeme pekee dunian wa gharama nafuu..haya masola na mawind mils nimiradi ya wazungu..

Unapoleta mada kama hizi fanya tafiti usije nazo kutafuta ushabiki wa machadema humu..
 
Tunahitaji uhuru wa nishati, baada ya gharama za ujenzi hakuta kuwa na gharama za kutafuta malighafi kuzalisha umeme (maji yapo bure).

Haswa, kwa kuwa Tanzania tulisha kuwa tumepigwa loba na wajanja. Mafisadi walishaweka mirija ya kutunyonya kwa miaka mingi kwa kusaini mikataba na wamiliki wa visima vya gesi. Wote hao wakimiliki zaidi ya asilimia 80% na watanzania tukimiliki asilimia kiduchu. Hivyo Rais Mgufuli ametuokoa wananchi kwa kuwapiga mafisadi chenga/kanzu/tobo kama Okocha vile.

Umeme wa Solar hauna nguvu ya kuendesha viwanda, unaweza kutumia kuwashia taa na vitu vinavyohitaji umeme mdogo (wattage) ila kuendesha viwanda vinavyoendesha mashine nzito haufai.

Sababu kubwa ya nchi nyingi kutokutumia umeme wa maji ni kutokana na kutokuwa na vyanzo, wenzetu walisha tumia vyanzo vyote (exhausted all options). Kujenga bwawa la umeme lazima uwe na chanzo cha maji ya kutosha halafu kuwe na kina pamoja na kingo mbili. Ni sehemu chache sana duniani zina jiografia hiyo.

Tatizo la njia za upepo ni eneo kubwa litakalohitajika kuzalisha kiasi kama hicho cha bwawa, hii inamaanisha kutahitajika mapanga boi mengi sana ambayo gharama yake ni kubwa sana. Siyo hivyo tuu kwakuwa ni mengi, kuyaendesha kutahitaji wafanyakazi wengi. Mapangaboi huwa na umri wa miaka 25 (lifespan) hivyo baada ya muda huo itabidi serikali igharamie upya ubadilishwaji wa mapangaboi.

Watapotea kivipi, eneo litakalo tumika ni 3% ya hifadhi, wanyama siku zote wanatembea kutafuta maji, malisho na sehemu za kujificha, kama wakiona sehemu hiyo si rafiki wataenda kwenye eneo la 97% lililobaki.

Katika mradi wowote huwa kuna yale majukumu ya kijamii, ni dhahiri hilo watalizingatia.

Nani kakwambia umeme wa jua unatumika kuendesha viwanda? Baada ya nishati ya jua kubadilishwa kuwa umeme ni lazima ihifadhiwe kwenye betri, sasa ili uweze kuzalisha kiasi kikubwa cha umeme, ni lazima uwe na eneo kubwa sana ambalo kwanza itabidi uharibu mazingira (kukata miti), pili lazima uwe na kiasi kikubwa cha betri. Betri hizi huwa ni zile za Lithium ion (kwa kuwa zina nguvu) ambazo ni ghali sana na pia baada ya muda inabidi zibadilishwe, hivyo gharama za uendeshaji kuongezeka mara dufu.

Hao uliookoteza huko wanaotaka kutumia umeme wa jua ni ma supermakert na siyo viwanda. Wameamua kufanya hivyo si kwasababu ya kupenda sana mazingira bali kupunguza gharama za uendeshaji wa huduma zao ili kuongeza faida.

Walmart kwa mfano, biashara yao imesimamia maneno haya, "Low Price" sasa ili wauze kwa bei ndogo ni lazima wapunguze gharama kwingine. Wamekuwa wakiwaminya supplers wao kwa miaka mingi kwa kununua bidhaa kwa bei ndogo, huku wakiwalipa wafanyakazi wao ujira mdogo, bila maslahi (benefits), mpaka vyama vya kulinda wafanyakazi (unions) walivikataa visianzishwe.

Jamaa hawakutosheka, wakaona wapunguze "middlemen", wakaanza kutengeneza bidhaa zao wenyewe zenye brand name "great value". Sasa naona investors wanataka kukamua zaidi hivyo menejimenti wameona wajitengenezee umeme wao wenyewe kunguza gharama.

Kwa hiyo ndugu, usipende kunyweshwa kila kitu unachopewa, jiongeze.
Kongole mkuu, umenyoosha hiyo; kama ni wa kuelewa watakuelewa, kama si wa kukuelewa hawatakuelewa. Wahenga walisema " la kuvunda halina ubani". Tusubiri.
 
Haswa, kwa kuwa Tanzania tulisha kuwa tumepigwa loba na wajanja. Mafisadi walishaweka mirija ya kutunyonya kwa miaka mingi kwa kusaini mikataba na wamiliki wa visima vya gesi. Wote hao wakimiliki zaidi ya asilimia 80% na watanzania tukimiliki asilimia kiduchu. Hivyo Rais Mgufuli ametuokoa wananchi kwa kuwapiga mafisadi chenga/kanzu/tobo kama Okocha vile.

[/QUOTE]
Kwa hiyo tunaikimbia gesi yetu wenyewe kwa sababu ya mikataba? ila gesi ipo na ya kutosha? kwa nini tusitumie nguvu hiyo kubwa kurekebisha mikataba?
 
kama unaijua jiografia ya Tanzania vizuri utaelewa kuwa vyanzo vya mto rufiji vinatoka nyanda za juu kusini ambako muinuko wake kutoka usawa wa bahari ni kwenye wastani wa mita 1,700 (5500ft). Kukupa picha ya muinuko huo ni sawa na kupanda theluthi moja ya mlima kilimanjaro. Vyanzo hivi ni vingi vikiendelea mpaka Iringa kwenye muinuko wa mita 1,500 (5,090 ft) kutoka juu ya usawa wa bahari.

Kama umewahi kufika nyanda za juu kusini utaona kiasi cha uoto wa asili kilichopo kule, si mchezo. Kuwa na uoto wa asili ni kiashiria chanya na cha uhakika wa maji na katika vitu ambavyo huwezi kudanganya kwa muda mrefu dunia hii ni asili. Angalia Dubai wanavyohangaika kutumia mabilioni ya dola kupendezesha jangwa lakini wapi, bado kukavu.

Kiasi cha uoto wa asili uliopo kule na jinsi kusini ilivyoinuka "inakuwa rahisi na karibu kuivuta mvua huko mbinguni :), (not really but you get the point).

kiasi hicho kikubwa cha uoto kinatengeneza mvuke mwingi unaotengeneza mvua nyingi ambayo inaotesha mimea mingi, inayokuja kutoa mvuke mwingi unaokuja kuleta mvua nyingine nyingi (alichonacho ataongezewa). Mvua hizo zote ndiyo zinatengeneza vyanzo vya mto rufiji huko chini kwenye bwawa.

Kwahiyo usikonde sana, bwawa haliwezi kukakuka leo wala kesho.
Nimeipenda hii mada kutokana na jinsi unavyojibu hoja za wadau kwa mapana zaidi. Itakuwa ni aibu sana kama mtu kama wewe sio mwalimu w sekondari/chuo maana unaeleweka vizuri sana.

Kudos bro!
 
Kutokana na Serikal kupandisha kodi kwenye bidhaa za solar na kuwa juu ili kulinda tanesco mimi nimeamua kuunda wind turbine itayotosheleza matumizi yangu ya nyumbani na ofisini kwa kutumia Altenator ya gari 24v DC,ambayo ningeweza ifanya AC kwa Kuunganisha TRANSFORMER na Transistor imara na kupata umeme wa uhakika japo kwetu upepo sio mwingi sana natamani pangekua kwetu ni Mwanga,singida ,tanga maeneo ya mwambao ningeenjoy zaidi ..... Tunza mazingira Yakutunze pia matumizi ya miti ya kisasa nimeyaacha naweka miti ya asili inayoweza stahimili ukame
 
Tunahitaji uhuru wa nishati, baada ya gharama za ujenzi hakuta kuwa na gharama za kutafuta malighafi kuzalisha umeme (maji yapo bure).

Haswa, kwa kuwa Tanzania tulishakuwa tumepigwa loba na wajanja. Mafisadi walishaweka mirija ya kutunyonya kwa miaka mingi kwa kusaini mikataba na wamiliki wa visima vya gesi. Wote hao wakimiliki zaidi ya asilimia 80% na watanzania tukimiliki asilimia kiduchu. Hivyo Rais Mgufuli ametuokoa wananchi kwa kuwapiga mafisadi chenga/kanzu/tobo kama Okocha vile.

Umeme wa Solar hauna nguvu ya kuendesha viwanda, unaweza kutumia kuwashia taa na vitu vinavyohitaji umeme mdogo (wattage) ila kuendesha viwanda vinavyoendesha mashine nzito haufai.

Sababu kubwa ya nchi nyingi kutokutumia umeme wa maji ni kutokana na kutokuwa na vyanzo, wenzetu walisha tumia vyanzo vyote (exhausted all options). Kujenga bwawa la umeme lazima uwe na chanzo cha maji ya kutosha halafu kuwe na kina pamoja na kingo mbili. Ni sehemu chache sana duniani zina jiografia hiyo.

Tatizo la njia za upepo ni eneo kubwa litakalohitajika kuzalisha kiasi kama hicho cha bwawa, hii inamaanisha kutahitajika mapanga boi mengi sana ambayo gharama yake ni kubwa mno. Siyo hivyo tuu kwakuwa ni mengi, kuyaendesha kutahitaji wafanyakazi wengi. Mapangaboi huwa na umri wa miaka 25 (lifespan) hivyo baada ya muda huo itabidi serikali igharamie upya ubadilishwaji wa mapangaboi.

Watapotea kivipi, eneo litakalo tumika ni 3% ya hifadhi, wanyama siku zote wanatembea kutafuta maji, malisho na sehemu za kujificha, kama wakiona sehemu hiyo si rafiki wataenda kwenye eneo la 97% lililobaki.

Katika mradi wowote huwa kuna yale majukumu ya kijamii, ni dhahiri hilo watalizingatia.

Nani kakwambia umeme wa jua unatumika kuendesha viwanda? Baada ya nishati ya jua kubadilishwa kuwa umeme ni lazima ihifadhiwe kwenye betri, sasa ili uweze kuzalisha kiasi kikubwa cha umeme, ni lazima uwe na eneo kubwa sana ambalo kwanza itabidi uharibu mazingira (kukata miti), pili lazima uwe na kiasi kikubwa cha betri. Betri hizi huwa ni zile za Lithium ion (zinatoa nishati kubwa) ambazo ni ghali sana na pia baada ya muda inabidi zibadilishwe, hivyo gharama za uendeshaji kuongezeka mara dufu.

Hao uliookoteza huko wanaotaka kutumia umeme wa jua ni ma supermakert na siyo viwanda. Wameamua kufanya hivyo si kwasababu ya kupenda sana mazingira bali kupunguza gharama za uendeshaji wa huduma zao ili kuongeza faida.

Walmart kwa mfano, biashara yao imesimamia maneno haya, "everyday Low Price" sasa ili wauze kwa bei ndogo ni lazima wapunguze gharama kwingine. Wamekuwa wakiwaminya supplers wao kwa miaka mingi kwa kununua bidhaa kwa bei ndogo, huku wakiwalipa wafanyakazi wao ujira mdogo, bila maslahi (benefits), mpaka vyama vya kulinda wafanyakazi (unions) walivikataa visianzishwe.

Jamaa hawakutosheka, wakaona wapunguze "middlemen", wakaanza kutengeneza bidhaa zao wenyewe zenye brand name "great value". Sasa naona investors wanataka kukamua zaidi hivyo menejimenti wameona wajitengenezee umeme wao wenyewe kupunguza gharama.

Kwa hiyo ndugu, usipende kunyweshwa kila kitu unachopewa, jiongeze.
I DONT BLAME YOU, I BLAME YOUR IGNORANCE AND LACK OF INTELLIGENCE
 
Nimeipenda hii mada kutokana na jinsi unavyojibu hoja za wadau kwa mapana zaidi. Itakuwa ni aibu sana kama mtu kama wewe sio mwalimu w sekondari/chuo maana unaeleweka vizuri sana.

Kudos bro!
ulienda shule wewe????
 
maswali ya kujiuliza
kunauhitaji gani wa hii project kwa sasa?
Je huu mradi ni kipaumbele cha Taifa?.
Je ukitengenezwa huu mradi wa umeme na viwanda vikaamua kutumia nishati tofauti kama vile solar tutafanyaje kama taifa ?
Je uchunguzi umefanyika wakutosha na kugundua kwanini viwanda vingi duniani havitumii aina ya nishati tunayotaka kutumia?
Je gharama za mradi huu tumelinganisha na gharama za miradi mingine ya umeme kwa kutumia chazo tofauti cha nishati kama vile jua au upepo, pamoja na gharama za uendeshaji?
Je hao wanyama tutakao wapoteza hawana thamani kama faru John? Zilitumika nguvu nyingi sana kumtafuta faru John na inatumika nguvu kidogo kuangamiza makundi ya wanyama wa kila aina.

zaidi ya miti milioni 2.6 kukatwa idadi hii ya miti tutaweka historia ya dunia katika uharibifu wa mazingira . Kwahili jambo ni hatari kwa sasa na zaidi kwa kizazi kijacho.
Kwanini tuharibu mazingira kwa ukubwa huu wakati tunauwezo wa kutumia jua na upepo kuendeshea viwanda, na matumizi mengine na tuna makaa ya mawe.
Dunia nzima tuna tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa (sisi wenyewe ni mashahidi ndani ya nchi yetu ) yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira.



Angalia mazingira ya selour Game Reserve yalivyo mazuri wanataka pabaki ukiwa, Tunza mazingira yakutunze. View attachment 1090086View attachment 1090088


If you cut a tree, you kill a life.
If you save a tree, you save a life.
If you plant a tree, you plant a life.


Wind turbines provide 8% of U.S. generating capacity, more than any other renewable source.


Top 10 Companies Using Solar Power (Based on Megawatts Installed)

  1. Target Corporation (147.5 MW). Target’s goal is to increase its number of buildings with rooftop solar panels to 500 by 2020. The retailer currently has 300 buildings equipped with panels.
  2. Walmart (145 MW). In 2005, Walmart’s chief executive officer at the time, Lee Scott, said, “Climate change used to be controversial, but the science is in and it is overwhelming. Every company has a responsibility to reduce greenhouse gas emissions as quickly as possible.”
  3. Prologis (107.8 MW). Prologis — an owner, operator and developer of industrial real estate — has put in more solar capacity than 27 different U.S. states.
  4. Apple (93.9 MW). A former administrator of the Environmental Protection Agency (EPA), Lisa Jackson, is now the Apple executive overseeing environmental policy, social initiatives and worldwide government affairs.
  5. Costco Wholesale (50.7 MW). The solar array on Costco Wholesale’s warehouse in Lake Elsinore, Calif., covers 45,000 square feet, which will prevent 458 tons of carbon from going into the atmosphere every year. The developers have compared this to planting 112 acres of trees.
  6. Kohl’s (50.2 MW). As of the end of last year, retailer Kohl’s had 163 solar power systems activated in 15 states.
  7. IKEA (44 MW). Ninety-one percent of IKEA stores are powered by the sun.
  8. Macy’s (38.9 MW). By the end of 2016, Macy’s is scheduled to install additional solar power systems on its facilities, for a total of 113.
  9. General Growth Properties (30.2 MW). In 2015, real estate investment trust GGP reduced its overall carbon footprint by 23,200 metric tons of carbon dioxide, which is the equivalent of removing nearly 5,000 cars off the roads in the U.S.
  10. Hartz Mountain Industries (22.7 MW). “Solar power represents both a means to be kinder to the earth by reducing pollution and is a significant factor in reducing our operational expenses,” said Emanuel Stern, president and chief operating officer for Hartz Mountain Industries, which deals in commercial real estate.
THIS PROJECT IS A WHITE ELEPHANT PROJECT PERIOD, hii mradi ni wa kula hela tu, hata by 2030 bado hakutakuwa na umeme wa 2100MW, ni vile hii serikali haina watu weye elimu
 
Kama China hawakusikiliza kelele hiz za mazingira ,wamarekan wameshahari b wanataka waendelee kutuuzia solar na mafuta ,pambavuuu,lazima stiglers ijengwe
 
Hoja zako dhaifu sana, kwahiyo unataka tutumie makaa ya mawe yanayozalisha hewa ya ukaa ili kutunza mazingira?, kwahiyo unataka tusiwape wananchi nishati mbadala ya mkaa na miti ili waendelee kukata miti na kuchoma mkaa? Hapo we ndio unaona utakuwa umetunza mazingira? Hivi nguvu ya upepo ni reliable na itaweza kuendesha viwanda vitakavyohitaji umeme wa uhakika? Unataka tutumie solar kuendesha viwanda? Vipi siku wingu likitanda? Na vipi kuhusu power yake ni sufficient kuendesha mitambo mizito 24 /7 usiku na mchana? Vipi kuhusu gharama zake?
 
Tunahitaji uhuru wa nishati, baada ya gharama za ujenzi hakuta kuwa na gharama za kutafuta malighafi kuzalisha umeme (maji yapo bure).

Haswa, kwa kuwa Tanzania tulishakuwa tumepigwa loba na wajanja. Mafisadi walishaweka mirija ya kutunyonya kwa miaka mingi kwa kusaini mikataba na wamiliki wa visima vya gesi. Wote hao wakimiliki zaidi ya asilimia 80% na watanzania tukimiliki asilimia kiduchu. Hivyo Rais Mgufuli ametuokoa wananchi kwa kuwapiga mafisadi chenga/kanzu/tobo kama Okocha vile.

Umeme wa Solar hauna nguvu ya kuendesha viwanda, unaweza kutumia kuwashia taa na vitu vinavyohitaji umeme mdogo (wattage) ila kuendesha viwanda vinavyoendesha mashine nzito haufai.

Sababu kubwa ya nchi nyingi kutokutumia umeme wa maji ni kutokana na kutokuwa na vyanzo, wenzetu walisha tumia vyanzo vyote (exhausted all options). Kujenga bwawa la umeme lazima uwe na chanzo cha maji ya kutosha halafu kuwe na kina pamoja na kingo mbili. Ni sehemu chache sana duniani zina jiografia hiyo.

Tatizo la njia za upepo ni eneo kubwa litakalohitajika kuzalisha kiasi kama hicho cha bwawa, hii inamaanisha kutahitajika mapanga boi mengi sana ambayo gharama yake ni kubwa mno. Siyo hivyo tuu kwakuwa ni mengi, kuyaendesha kutahitaji wafanyakazi wengi. Mapangaboi huwa na umri wa miaka 25 (lifespan) hivyo baada ya muda huo itabidi serikali igharamie upya ubadilishwaji wa mapangaboi.

Watapotea kivipi, eneo litakalo tumika ni 3% ya hifadhi, wanyama siku zote wanatembea kutafuta maji, malisho na sehemu za kujificha, kama wakiona sehemu hiyo si rafiki wataenda kwenye eneo la 97% lililobaki.

Katika mradi wowote huwa kuna yale majukumu ya kijamii, ni dhahiri hilo watalizingatia.

Nani kakwambia umeme wa jua unatumika kuendesha viwanda? Baada ya nishati ya jua kubadilishwa kuwa umeme ni lazima ihifadhiwe kwenye betri, sasa ili uweze kuzalisha kiasi kikubwa cha umeme, ni lazima uwe na eneo kubwa sana ambalo kwanza itabidi uharibu mazingira (kukata miti), pili lazima uwe na kiasi kikubwa cha betri. Betri hizi huwa ni zile za Lithium ion (zinatoa nishati kubwa) ambazo ni ghali sana na pia baada ya muda inabidi zibadilishwe, hivyo gharama za uendeshaji kuongezeka mara dufu.

Hao uliookoteza huko wanaotaka kutumia umeme wa jua ni ma supermakert na siyo viwanda. Wameamua kufanya hivyo si kwasababu ya kupenda sana mazingira bali kupunguza gharama za uendeshaji wa huduma zao ili kuongeza faida.

Walmart kwa mfano, biashara yao imesimamia maneno haya, "everyday Low Price" sasa ili wauze kwa bei ndogo ni lazima wapunguze gharama kwingine. Wamekuwa wakiwaminya supplers wao kwa miaka mingi kwa kununua bidhaa kwa bei ndogo, huku wakiwalipa wafanyakazi wao ujira mdogo, bila maslahi (benefits), mpaka vyama vya kulinda wafanyakazi (unions) walivikataa visianzishwe.

Jamaa hawakutosheka, wakaona wapunguze "middlemen", wakaanza kutengeneza bidhaa zao wenyewe zenye brand name "great value". Sasa naona investors wanataka kukamua zaidi hivyo menejimenti wameona wajitengenezee umeme wao wenyewe kupunguza gharama.

Kwa hiyo ndugu, usipende kunyweshwa kila kitu unachopewa, jiongeze.
Yaani umemaliza kila kitu, yaani umemjibu vile ambavyo mimi ningemjibu, precise and on point. Shikamoo.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom