Kweli kabisa leo nilikuwa napitia kitabu cha hesabu mathematics for secondary school student book 4. Nimeshangaa sana kwenye page 264,265,266 jinsi wanavyoelezea hiyo mada. Pia page 315 kuna cosine rule imekosewa kabisa. Sasa mimi kwa muda wa nusu saa tu nimeona makosa haya ila Mwenyekiti...
Lakini pia wapo wasemaji kama Mbowe, Slaa n.k. pia wakati Mh Lowasa yupo kwenye ubora wake alikuwa msemaji mzuri tu. Ukweli hayuko vizuri Ila ni bora kusema hivi pamoja na afya yake lkn anatufaa sio kuanza kumtetea kuwa yupo sawa. Kiafya hayuko sawa kujadili ni je afya yake ina athari ktk urais?
Hiyo habari ni ya kwelo kabisa mmoja ya walio uwawa ameuwawa katika kijiji cha Kibindu karibu na mpaka wa Pwani, Moro na Tanga. Mpaka sasa msako mkubwa unaendelea kuwasaka waliosalia kwa mujibu wa mashuhuda lilikuwa kundi kubwa la watu zaidi 100 huko kijijini ni heka heka kwa sasa
Kumbe kukaa kimya ni bora kuliko kusema jambo usililijua. Tatizo letu tunashabikia watu kuliko sera na taratibu sasa ndio tunajionea wenyewe uozo wa watu tunaowaamini. Kama viongozi hawawezi kutunza siri za chama mpaka kuziweka hadharani ni balaa. Ikumbukwe kuwa chama, au kikundi chochote siri...
Nasikia ripoti ya tume ya Pinda kuhusu matokeo ya IV 2012 imetolewa Bungeni leo asubuhi. Wadau mlioipata tuwekeeni hapa maana tulikuwa kwenye majukumu.
Ndio kila mtu kasikia juu ya uozo wa matokeo haya ya vijana wetu. Kwa kweli nchi ipo njia panda kuhusu elimu. Pamoja na uozo huo wa matokeo kilichonishangaza ni matendo au majibu yanayotolewa na hao wahusika ikiwemo walimu, watu wa baraza la mitihani pamoja nawaandishi wa habari.
1. Nianze na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.