Alfa ya Mwanza-Dar imepata ajali kwa kugongana uso kwa uso na Lori la Mafuta la kampuni ya GPB Nje kidogo ya Mji wa Nzega..,
Hali ya Abiria
Mpk sasa sina idadi kamili ya vifo Ila sio chini ya watu 7
Kama una ndugu yako leo alikuwa anasafiri na Alfa kutokea Mwanza Piga simu Kumjulia Hali maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.