Jaman umr ukifka umefika natafta bint awe na umr kuanzia miaka 19-23 awe mcha mungu na awe na sifa zote za mwanamke anafaa kutuza family yake anicheck kwa no 0628239703 napatikana SIMIYU itapendeza
Mm ni kijana nimetokea kumpenda binti nikamweleza haja yangu akanieea tukawa wachumba, baada ya mwezi 1 akanitumia sms anadai ameshindwa kuwa na mm hivyo nichukue time, ila mm nampenda sana na roho inaniuma sana nifanyeje wapendwa
naomba ushaul ninamke ambeye nampenda kwel hadi yy anajua hilo tunaye kama mwaka na nusu ila hatujabarikiwa mtoto
sk moja nilichukua sm yake ili nikaitengeneze, ila nikakuta sms amei send ikisema [ninamimba yako ile sk tulio kuwa wote umenipatia] nikajawa na jaziba nikaivunja lain yake ya sm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.