Recent content by waku7bisha

  1. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watumiaji wa Tecno wakutane hapo

    Ebhana hawa jamaa pia wana forum yao.. http://bbs.tecno-mobile.com/registration/inviteurl?invitecode=126462699
  2. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutengeneza website(tovuti) bure ya kiofisi (acha kulipia leo)

    asante sana kakaa.. Naomba msaada kupata hiyo programu ya Website X5, maana nimeclick hiyo link imenidirect kwenye sehemu ya kununua
  3. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    naomba tofauti ya dual sim standby na dual sim active
  4. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    halafu , hivi hizi simu kali kama galaxy s7 edge au s8 edge inayoukuja, hua zipo za dual line? maana me nakubali sana simu zenye dual line
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    af me naona pia tatizo ni urahisi wa upatikanaji..ndo maana Tecno kasikilia soko sana, sababu anapatikana kwa urahisi. I wish simu kama hiyo z2 ingekua inapatikana kiurahisi kama Tecno zilivyojaa kkoo sasa tatizo simu kama hiyo kupatikana shida...sio kamaTecno zilivyojaa kkoo
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    aysee...sasa inakuaje ndo wanaongoza kwa brand ya simu inayotumiwa sana bongo, nigeria
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    z2 ina battery capacity 1500mAh. Unazungumziaje hapo? Ni ndogo ukicompare kwa zile za Tecno
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    Tecno W3 ni 150000/= . Tecno Y3 ni 100000/= . me naona hizi zinawafaa watanzania wa hali duni. sasa naomba samsung yenye same specs na hizo smartphones za tecno kwa budget ya 100000/= - 150000/=. I'm trying to see how the guys are helping people when it comes to budget. (housegirl, mama...
  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    sasa kakaa..unamuongeleaje housgirl, mama ntilie, kondakta, watu wote wa levo za chini ambao hawawezi kuafford simu nyingine hizo za bei ghali kidogo? Tecno amekua mkombozi wa Tanzania, afrika kwa ujumla ..sababu ya affordable prices. anatengeneza simu kwa kila budget. Actually ndo inaongozwa...
  10. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    hahah hahahaha....chief mkwawa!! long time sana sijaingia humu. last time nakumbuka tulikua tunaeleweshana kuhusu simu za Tecno. wewe ulikua huzipendi kabisa mpaka ukawa unazipondea. vipi sasahiv?!..bado unaendelea kuziponda na kuziona hazifai?
  11. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno phantom 5 yazinduliwa

    Namna hiyo...you should learn to appreciate.
  12. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno phantom 5 yazinduliwa

    Unachosema ni kweli kakaa, watu wanaiponda Phantom 5 wakati hawajawahi kuitumia. Bora wewe umeitumiana umekuja sema kwamba ipo vizuri. Napenda watu kama wewe ambao wametumia kitu na kuleta feedback, not those who only base on readings.
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno phantom 5 yazinduliwa

    Nimekuelewa kaka.hiyo lg g2 iache iuzwe laki tano na hiyo tecno iuzwe laki saba. This is because tecno imeongeza finger print sensor hardware ambayo hiyo lg g2 haina. So kwa ubora wake hiyo tecno, lazma bei iwe juu.
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno phantom 5 yazinduliwa

    Laki nane nyingi ndio ila inadeserve kwa Simu kama hiyo. So as Simu za brand nyingine zinazouzwa arround milioni mbili huko. What I am saying is that, tuache kupondea vitu wakati hatujawahi vitumia .
  15. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno phantom 5 yazinduliwa

    Kwanini uiponde Simu ya MTU (tecno) , wakati watu wanatumia tecno..same phone zaidi ya mwaka sasa? Huo sio ubora?
Back
Top Bottom