Ungeomba Samahani, haraka Sana mara baada ya kuifuta hiyo sticker, lakini kufuta na kukaa kimya lazima waendelee kukushambulia, Rudini kwenye group Uombe msamaha, Sote huwa tunakosea (na tunafanya ngono, watakuelewa).. ili uweze kuendelea kushiriki ibada kwa Amani ya Bwana!
Pole kwa hilo Tukio!