Ndugu yangu wa kAribu kabisa (damu) alikua anafanya kazi kampuni ya ABB ambayo ilikua hapa kwetu Tanzania (nadhani imehamishwa/kufungwa kwa hapa Tz), yeye ni electrical engineer, alikua analipwa take home 15M na marupupu kibao, safari za kuzurura Afrika na Ughaibuni ni kama mimi navyokwendaga...
Mara nyingi Afrika Tunaoa Wanawake tuliowazidi saana Umri, wakati mwingine unamzidi mwenzio hata miaka 10. Sasa miaka 20 ya mwanzo MAMA (wife) atakua proud kutoka na Baba kila mahali na anapenda kila mtu ajue au aone jinsi gani amebahatika kuwa na Mwanaume shupavu (protective), handsome (mvuto...
Special Group a.k.a “People with Disability” ndo hao anaowazungumzia mtoa mada, umewahi kuwakula? Ilikuaje? hapo sijui ubaguzi unatokea wapi[emoji2375]
Wewe ndo uliingilia mahusiano ya watu, na haya ndio matokeo yake, Go for DNA test then process for divorce ila usimlaumu mama mtoto ni wewe ndo ulijichanganya, na kama huyu mchumba mpya hukupata muda wa kumchunguza na kujiridhisha utajikuta pia unaoa mke wa mtu.
Stori yako ilikaa vizuri kabisa...
Hamna laana hapo, Wewe ni mtoto wa kiume kaza.., hayo yote yaliyotokea kwako binadamu wote hutupata ni sehemu tu ya maisha, Hongera sana kwa huyo mkeo umeona yanayokupata na alivyotulia na ww? maana yake hamna ''second hand'' hapo, Wanaume tumeumbiwa magumu na maana halisi ya uanaume ni ya...
Wenzako wa Ulaya au Sio, same age as U [emoji1787][emoji1787], being multidollars billionaires, wewe una uwekezaji kiasi gani hadi sasa [emoji19] [emoji706][emoji706]
Ungeomba Samahani, haraka Sana mara baada ya kuifuta hiyo sticker, lakini kufuta na kukaa kimya lazima waendelee kukushambulia, Rudini kwenye group Uombe msamaha, Sote huwa tunakosea (na tunafanya ngono, watakuelewa).. ili uweze kuendelea kushiriki ibada kwa Amani ya Bwana!
Pole kwa hilo Tukio!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.