Recent content by Wako Mtiifu

  1. Wako Mtiifu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    ssshh..! 🤫 Tunaombeleza 😢
  2. Wako Mtiifu

    Nimeamini Tanzania yangu kuna watu wana hela

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  3. Wako Mtiifu

    Siku yako ya kwanza ku drive highways ilikuwaje?

    Amaizing... siku moja nitamiliki mgongo wa Chura na 109/110 kwaajili ya adventure kama hizo, BIg up sana Mkuu!
  4. Wako Mtiifu

    SoC02 Nilivyoweza kuongeza kipato kutoka milioni 1 hadi milioni 14 kwa mwezi

    Ndugu yangu wa kAribu kabisa (damu) alikua anafanya kazi kampuni ya ABB ambayo ilikua hapa kwetu Tanzania (nadhani imehamishwa/kufungwa kwa hapa Tz), yeye ni electrical engineer, alikua analipwa take home 15M na marupupu kibao, safari za kuzurura Afrika na Ughaibuni ni kama mimi navyokwendaga...
  5. Wako Mtiifu

    MMU Leo tuongee watu wazima vijana wajifunze kutoka kwetu, maana jukwaa limejaa utoto mwingi.

    Mara nyingi Afrika Tunaoa Wanawake tuliowazidi saana Umri, wakati mwingine unamzidi mwenzio hata miaka 10. Sasa miaka 20 ya mwanzo MAMA (wife) atakua proud kutoka na Baba kila mahali na anapenda kila mtu ajue au aone jinsi gani amebahatika kuwa na Mwanaume shupavu (protective), handsome (mvuto...
  6. Wako Mtiifu

    Ambao mlishawahi kudate na watu wenye ulemavu tupeni uzoefu

    Special Group a.k.a “People with Disability” ndo hao anaowazungumzia mtoa mada, umewahi kuwakula? Ilikuaje? hapo sijui ubaguzi unatokea wapi[emoji2375]
  7. Wako Mtiifu

    Baba wa ubatizo wa mwanangu ana uhusiano wa kimapenzi na mama wa mwanangu. Navukaje hapa?

    Wewe ndo uliingilia mahusiano ya watu, na haya ndio matokeo yake, Go for DNA test then process for divorce ila usimlaumu mama mtoto ni wewe ndo ulijichanganya, na kama huyu mchumba mpya hukupata muda wa kumchunguza na kujiridhisha utajikuta pia unaoa mke wa mtu. Stori yako ilikaa vizuri kabisa...
  8. Wako Mtiifu

    Hii ni laana au kuna mkono wa mtu

    Hamna laana hapo, Wewe ni mtoto wa kiume kaza.., hayo yote yaliyotokea kwako binadamu wote hutupata ni sehemu tu ya maisha, Hongera sana kwa huyo mkeo umeona yanayokupata na alivyotulia na ww? maana yake hamna ''second hand'' hapo, Wanaume tumeumbiwa magumu na maana halisi ya uanaume ni ya...
  9. Wako Mtiifu

    Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa

    Ulivomalizia sasa [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787] Umeua [emoji1430] Ngoja tuone mambo ya Edwin kwenye mrejesho!
  10. Wako Mtiifu

    Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

    Wenzako wa Ulaya au Sio, same age as U [emoji1787][emoji1787], being multidollars billionaires, wewe una uwekezaji kiasi gani hadi sasa [emoji19] [emoji706][emoji706]
  11. Wako Mtiifu

    Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

    Unafikiri kule Mama Kaajiri malaika tupu au Sio...(Ni wivuu tu ..)
  12. Wako Mtiifu

    Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

    Ungeomba Samahani, haraka Sana mara baada ya kuifuta hiyo sticker, lakini kufuta na kukaa kimya lazima waendelee kukushambulia, Rudini kwenye group Uombe msamaha, Sote huwa tunakosea (na tunafanya ngono, watakuelewa).. ili uweze kuendelea kushiriki ibada kwa Amani ya Bwana! Pole kwa hilo Tukio!
  13. Wako Mtiifu

    Ni kitu gani hutakuja kununua katika Maisha yako?

    kweli kabisa,now nipo na muingereza Automatic naenjoi yale niliyokua nasimuliwa
  14. Wako Mtiifu

    Ni kitu gani hutakuja kununua katika Maisha yako?

    Nilifanikiwa mkuu.. ila kwa mbinde sana si unajua ilikua manual full changamoto, tangu hapo sasa mimi na mjapan ni story tu sio biashara tena
  15. Wako Mtiifu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Woow ..! Bonge la Challenge✊✊✊✊ Tukiweka kimasihara tumaliziage na haka kakipengele kwa chini 🤪🤪
Back
Top Bottom