Nilivyo ona tu kamala Harris anawatumia akna card b kuconvice RAIA wampigie kura nikaseme tu huyu hatoboi hapa mwenzake trump anawatumia matajiri wenye akili zao akna elon musk
Hili shirika daily CAG anasema linaendeshwa Kwa hasara ndio maana lina mabei ya ajabu ajabu tu shida management haiumizi kichwa kabsa dawa ilikuwa kwanza wajilipe kutokana na faida na sio mishahara yao itoke hazina pili wawe performance valued kama kashindwa PGA chini uone kama shirika...
wakati anabadilisha title ya hiko kiwanja kwani alimuuzia au kumpa kama alimpa akipata mwanasheria mzuri mbona issue simple tu anakirudisha mikononi mwake maana hati atakama inabadilishwa haifyatuliwagi mpya waga anaongezewapo tu mmiliki mpya kwahyo ni issue simple tu maana hata huyu Mke...
Mkuu ndio utuuzima huo sasa utaelewa kwanini familia za kiafrica zitaendelea kuwa misukule tu kwenye familia za kihindi na kiarabu asset management ni poor Kwa hizi familia za kibantu utasikia tu tafuta chako unaanza mmoja wakati wenzetu Wa Hindi na waarabu wanawaza kuendeleza nway pambana mkuu
Mkuu uko na ujuzi gani tuanzie hapo kwanza??? Maana jaribu kufanya biashara ambayo unaujuzi nayo ila kusema umkabidhi MTU aiseee watu hawaajiliki mkuu hyo Pesa utaijutia tu vinyozi ni Pasua kichwa Bodaboda ndio usiseme naungana na mchangiaji Mmoja huko juu kwamba kama unampango wakukabidhi watu...
Tido ni jembe aliibadilisha sana TBC kipindi kile wakamuona hafai akala shavu Azam akafanya mapinduzi mpaka Leo tunaona na ligikuu ya kwetu,wakiweka siasa pembeni professionalism isimame atakuwa MTU sahihi
Mkuu kiwanda sio lelemama acha wawekeze kwenye majumba Mimi hata mstaafu simshauri kufanya biashara za kukimbizana kwanza umri ushamtupa mkono just imagine kipindi yeye ameanza kuajiliwa wenzake wakaingia kwenye biashara sasa Leo amestaafu na yeye ndio aingie kwenye biashara atakufa mapema sana...
Pesa x mkopo
Finloan app
Branch
Okoa maisha
M safi loan
Fair loan
Nikopeshe
Twiga loan
Okoa maisha
Eagle cash
Kopa fasta
mkuu kote huko ukiokoteza okoteza hukosi hela uoga wako ndio umaskini wako
Sasa mkuu siuko na smart phone na internet ya VPN hebu Fanya kukopa kwenye hii mitandao mara pesa x,pesa fasta,etc kampuni ziko nyingi sana huko hukosi 300,000 halafu kesho amkia karume asubuhi na mapema wakiwa wanafungua mizigo ya mtumba pick za kutosha rudi getto Ka tulie ikifika jioni mida ya...
Taarifa iwafikie uongozi wa Rockcity Mall acheni wizi kwenye Mashine zenu za parking haiwezekani msiweke bei ya parking wazi.
Hata kwa kuzibandika kwenye bango ili wateja tujue tunachajiwa kiasi gani na kwa muda gani mtawafukuzisha wateja wanaokuja kutumia hela hapo.
Mkuu hii issue mbona simple tu sio rocket science iko hivi mkono mtupu haulambwi wewe piga Mishe zako umake around 400M then approach bank kama equity wanatoaga mikopo ya mabus . We utachangia 40% percent ,60% percent watakuchangia wao kwahyo kama bus linacost around 300M we utalipia 120M the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.