Recent content by WaKijita

  1. W

    Ni aibu Prof. Sifuni Mchome kufanya kazi na Dr. Ndalichako Joyce!

    mambo ya GPA yafutwe sekondari niuvurugaji elimu kbs pia wizara ya elimu itolewe kwenye BRN
  2. W

    ACT-Wazalendo; Ilikuja kwa kasi na inakufa kwa kasi ya ajabu

    chama kiliwekeza zaidi katika ununuz wa bendera kuliko kutafuta wanachama
  3. W

    Waraka: Shule 11 za Serikali Hazitahusika na Utoaji wa Elimu Bure

    haaahaaaahaaa mbavu zangu mie ccm mbele kwa mbele tena naomba wachange tu watz wakome ubishi mh rais naomba urudishe karo na michango ili upate fedha ya vitanda muhimbili tuendelee kuisoma namba maana ccm ni ileile sasa wanatakaibadilikeje?)
  4. W

    Mgombea wa CHADEMA kwenye Jimbo la Handeni Mjini ameachwa mpweke

    ujinga wako tumeuona kawambie walokutuma ujinga kuwa umefikisha ujinga walokutuma kuleta
  5. W

    Mgombea wa CHADEMA kwenye Jimbo la Handeni Mjini ameachwa mpweke

    ningekujibu ila ntaonekana mwendawazimu zaidi yako
  6. W

    Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka

    lakini kamzawadia wilaya tayari
  7. W

    Spika Job Ndugai, Naibu Spika Tulia Akson Mwansasu, lazima UKAWA wanyooke

    ccm kila kitu kinatoka mfukoni siku hizi walianza urais tukayasikia hayo leo tenaaaaa! kweli nimeamini mwiba utokea ulipoingilia
  8. W

    Dr. Tulia Ackson - Anaweza kuwa Waziri wa Sheria

    hii inathibisha ukilaza wa wabunge wa ccm mpaka kocha analeta mamuluki shaaaaame
  9. W

    Mgawanyo wa Ruzuku za vyama vya siasa

    elimu elimu elimu, mtoa mada uliihitaji sana fursa hii ila basi
  10. W

    Wabunge wa UKAWA, msitoke Ukumbini Rais akizindua Bunge

    asante kwa ushauri ila hatutaufanyia kazi, kwanza umekula? maana njaa nayo shida
  11. W

    Waalimu kwa bashasha wanasubiri laptops zao hadi raha..

    nimeisha nunua modem yangu tayar
  12. W

    Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

    pole mama Mungu yupamoja nawewe akupe wepesi upone uendelee kulitumikia taifa
  13. W

    Wa kwanza kumkumbuka Kikwete

    kwa holidays za hovyo
  14. W

    Mgomo mkubwa wanukia nchini

    walimu hatujalipwa sote bado tunadai
Back
Top Bottom