Recent content by wakatanta

  1. wakatanta

    PreGE2025 Kama Nape na Makamba wamewekwa kando, si Mwigulu, Biteko, Tulia, Mwinyi, Makonda wala Majaliwa watamrithi kiti Rais Samia

    Jambo la kwanza ukwasi wao unatokana na wizi wa mali ya umma,kudeal nao hao watu ni jambo dogo sana,kuwafungulia mashitaka, na account zao kuzi -freeze,
  2. wakatanta

    Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

    Ile Rais Samia alipokwenda Marekani na kukaa takribani mwezi akizindua royal tour,na mshenga akiwa Rostam Aziz tulipigwa ile mbaya
  3. wakatanta

    CHADEMA na CCM wameamua kumpuuza Msigwa?

    Msigwa alishinda uchaguzi dhidi ya Sugu,sema hakuwa chaguo la mfalme Mbowe ambaye ndie anapanga safu yake,hivyo hakuondoka chadema kwa kupenda bali kwa kuudhiwa
  4. wakatanta

    Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

    Pia kuna muda wao kusaga meno, believe in me,muhimu wapewe maisha marefu
  5. wakatanta

    DOKEZO NHIF wanataka kutuua na dawa za bei chee

    Nchi ya vilaza, wanasiasa ni nuksi sana
  6. wakatanta

    Miaka 16 imepita haijajulikana nani alimmwagia tindikali Saed Kubenea

    Marekani pamoja na ubora wao kwenye issues za kiuchunguzi kupitia CIA na FBI mpaka leo hawajatoka hadharani kutuambia nani alimuua rais JF Kenerd, Endelea kujifunza
Back
Top Bottom