Jambo la kwanza ukwasi wao unatokana na wizi wa mali ya umma,kudeal nao hao watu ni jambo dogo sana,kuwafungulia mashitaka, na account zao kuzi -freeze,
Msigwa alishinda uchaguzi dhidi ya Sugu,sema hakuwa chaguo la mfalme Mbowe ambaye ndie anapanga safu yake,hivyo hakuondoka chadema kwa kupenda bali kwa kuudhiwa
Marekani pamoja na ubora wao kwenye issues za kiuchunguzi kupitia CIA na FBI mpaka leo hawajatoka hadharani kutuambia nani alimuua rais JF Kenerd,
Endelea kujifunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.