Jirani habari za leo nenda mpaka uwanja wa taifa shukia kituo cha uhasibu kama umetokea upande wa Buguruni, ukitokea upande wa mjini shukia kituo cha Jitegemee JKT Sekondari. Hapo ukiwa umetokea mjini upande huo huo kuna njia inakata kusoto kwenda kuungana na kurasini shimo la udongo mita...
Kama hana mke na wamekubaliana na wanataka kuianzisha familia yao tuwapongeze hayo mengine ni yakwake hayatuhusu, sisi atufundishe neneo na tulishike neno.
Mimi naamini kabisa ukitaka kufuga utaweza kikubwa utambue na ujielewe unataka kufuga kwa malengo gani. Mara nyingi sana nawashauri yeyote anae taka kuanza ufugaji kwanza tafuta wafugaji ambao wamesha kutangulia kwa kadiri ya mfugo unao taka kuufuga, njai hiyo itakusaidia sana kuzijua...
Nafiki kuna mahala kwenye ubongo za watawala wa kiafrika kuna maji maji yamekauka sio bure aisee, jamaa anajikubali kiasi hata anaye mshutumu hajui pakuanzia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.