Sasa hapo ndio ugundue kuwa siasa is a game kisa diamond ametumbuiza CCM chadema hawawez kumchukua kutumbuiza kwenye mikutano yao....lengo la diamond ko uwa pale ni kutumbuiza na si kumuomba mtu aichague CCM au UKAWA
Ikumbukwe kuwa diamond is a businessman and biashara yake kubwa kabisa inayomuingizia pesa ni muziki sasa kama alipewa kazi na CCM unataka asiifanye kisa nini kumbuka biashara yake haichagui nani wa kumuhudumia he is like the whole seller na sio Niche businessman
ili tusonge mbele yatupasa kuwa wawazi na wakweli toka ndani ya nyoyo zetu.
Lowasa tumemjua kuwa ni fisadi kwa miaka takriani nane sasa au zaidi.
Tumemjua kuwa si fisadi kwa siku zisizozidi hamsini.
Ushaidi wa kuwa yeye ni fisadi upo dhahiri.
Ushaidi wa kuwa yeye si fisadi unafichwa.
Nitakuwa...
Mimi kwa maoni yangu kwa watanzania wenzangu ni kuwa makini yaana CCM wanajua fika wanapoteza ni kamchezo tu wanataka kucheza kwa kumuweka Mr. Pombe sababu anapendwa na watanzania walio wengi kwa utendaji wake wa kazi hivyo watu watajisahau mabaya yote yaliyosababishwa na uongozi uliopita, nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.