Ukiangalia ushiriki wa Dr slaa kwenye MOU,kauli ya Mchungaji Msigwa kule Iringa,Message zilizokisambazwa na kanisa wakati wa uchaguzi 2010,nk ni baadhi tu ukiitaji mengine utapewa.Ki ufupi waislam hawana imani kabisa na CDM hata kama kuna baadhi ya Waislam wako CDM.
Ni ujinga kumuamini Ben saa8, wakati yeye ndo mwanzilishi wa PM7.Nasema tena ni upumbavu uliopitiliza kumuamini huyu jamaa! hana sifa ya kuaminiwa tena.
Ukigusia swala la PESA kwa Dr slaa basi jua umetukanwa! kwasababu huyu jamaa ni fisadi mkubwa kuanzia alivyokuwa jimboni kwake hadi sasa, yeye kujikopesha ni kazi rahisi sana!
Kwa nionavyo mimi,CDM watachafuliwa na hawa wanaojiita BAVICHA,wajinga kabisa wanashindwa kuhandle hizi issue kama wakongwe wao.Ebu angalia aliyoyafanya Shibuda,Zitto na Dr Slaa ktk kuhaibisha Chama lakini bado wanavumiliwa na Chama kinaendelea,lkn hawa BAVICHA ni upuuzi mtupu!
Binafsi naona hoja zinazotolewa na huyu jamaa anayeitwa Mohamed ni kama kuna ukweli sana. Lakini tatizo kwanini wao wenyewe wanaikubali BAKWATA? Na pia kwanini waislamu wanakubali kutumika na CCM?
Povu tupu wewe uliyepost! Hivi CDM kila mtu ni msemaji wa chama? alafu kutuambia suala la kadi 2 la Dr ni zuga tu,uhenda wewe pia umetumwa kumsafisha, tutaaminije? Umeonyesha udhaifu mkubwa kukurupuka kutaka kuelezea maisha ya mtu baada ya kuhama CDM,kwanini usieleze kabla hata hamjampa nafasi...
Hapana nasema tena hapana!!! CHADEMA lazima kuna tatizo! lakini kwa kuwa munatahadhalishwa mapema kabla ya 2015, hiyo ni faida kwenu kama mutafanyia kazi. CHUNGUZENI HILI, WATU WAMEICHOMA CCM LAKINI MBADALA NDO TATIZO!!!
Nakerwa na mijitu mbayo haitaki kuelewa kuomba radhi kwa huyu jamaa.Hivi ninyi si binadamu ambao pia munakosea wenzenu? acheni hizo, kukosea ni kwa kila kiumbe.aliyemkamilifu ni Mungu peke yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.