Kusema kweli inatia aibu klabu kubwa kama Yanga kuwekeza muda na rasilimali kubwa kwenye propaganda za mitandaoni.
Yanga inawatumia wale wanaojulikana kama wachambuzi kusambaza hizo propaganda.
Badala ya kutumia fedha nyingi kwa hawa wachambuzi kuwasifia GSM wajikite kwenye kuweka mambo sawa...
Mange Kimambi ni mtanzania anayeishi Marekani.
Alijizolewa umaarafu kwa kupinga wazi wazi sera za Hayati JPM. Alishangalia kifo cha JPM na kuweka mitandaoni.
Bila kujadili kama alikua sahihi kumpinga JPM kulikua na ulazima kwa wanausalama kumruhusu kupiga picha na Raisi Samia.
Kulikua na...
Unajua mashabiki wa Utopolo wanapenda kushabikia mambo ya kiutopolo kama kujaza uwanja.
Sasa Simba Leo tumefunga huo mjadala Kwa kujaza uwanja kabla ya saa nane mchana. Kudadadeki.
Sasa hatutaki kujadili tena mada kama hizo tena.
Tujadili Nani bingwa, Nani ana magoli mengi, nani anacheza...
Rivers United Vs Yanga
Mchezo utapigwa kesho mida ya saa kumi na mbili jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Hii ni mechi marudiano baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa hapa Dar es Salaam.
Utopolo walilala kwa goli moja bila majibu uwanjani Nyumbani.
Tupia ubashiri wako hapa chini.
Wangu Ni...
Leo nilikua natembea mitaa mbali mbali ya jiji la Dar. Kusema ukweli mwaka huu amsha amsha huku mtaani si mchezo.
Hongera kwa uongozi wa Simba kwa kujipanga safari hii maana Simba Day ni tamasha kubwa nchini.
Kila Kona ni Simba Day. Natamani ifike hiyo tarehe 19 tukuburudike wana msimbazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.