Sijawa mwenyeji kwenye hii familia Bali kwa mda nuliyo kaka humu kila mtu kwa comments zake humu ndani ziko poa.so kwangu wote wako vizuri na sijajuta kuwa mwanafamilia..hii
Nadhani hata anayetuhumu hajaweka obvious zaidi ya kusema ushahidi anao...sasa kwa kumtaka mheshimiwa aweke vyeti wazi kwa uelewa wangu wa darasa la saba nadhani anayetuhumu nae angeweka vyeti wazi ili kumpa urahisi mheshiwa namna ya kukanusha...lakini hii y sasa ni tuhuma tu ambayo bado ukweli...
Every person with power always anahitaji kuweka peculiar feature ambayo atakumbukwa kwayo na kuwa appreciated... and I think that ndo film inayoendelea hakuna anayemtuma mtu ni mawazo yangu tu hayo wadau wa JF..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.