Kama Zanzibar wanaweza kugharamia maisha ya utitiri wa viongozi ni sawa. Wasichote kutoka Bara, maana deni la umeme walishindwa kulipa hadi JPM akawasamehe.
Vipi, wagonjwa 1000 wanaotibiwa kwa siku nao ni haba? (BTW hao 120 ni wale ambao wanalazwa kwa uangalizi na uchunguzi zaidi)
Ni Hospitali ngapi Tanzania ambazo zina uwezo kama huo kama unafahamu tupe stats.
Bennett's sit-down with Putin was the first by a foreign leader since the day Russian forces invaded Ukraine last week
At the same time ...
Credit: Mailonline
Oligarchs take £3bn in dividends from Britain: Eight-year bonanza from listed firms raises questions over how Russians used City as...
Ingependeza na Tanzania wakawa wanawapa raia wake wasiokuwa na kazi pesa za kujikimu kila mwezi kama wanavyofanya kwenye nchi tajwa. Hizo kodi za simu zingekuwa na manufaa. Alijisemea lofa moja kwamba nchi hii kuna wahuni na viongozi malaya malaya.
Makato unapotoa pesa ambazo umeweka kwenye Bank kwa kutumia Apps au kwa njia ya mtandao ni wizi. Hili swala linabarikiwa na serikali/viongozi waliopo madarakani. Huu ni uonevu na unyonyaji kwa sababu it dos not cost a Bank anything, if there is a cost can they prove it?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.