Mwanamke mwenye mtoto nae anahaki ya KUPENDWA kma mwanamke mwengne na ipo possibility kubwa yakukuheshm maisha yote kwakua atakua anajua jns gani umejitoa kwake! na mambo yakikumbushia hayapo kwakua wametangana wakiwa na sababu za mcng!!!!
wanawake wanao'olewa na bikra asilimia kubwa wanakua wanatumia sana M kwakua wanahofia kudhalilisha familia zao hivyo wanaamua wazitunze na kujiamulia kutumia sehem ambazo ata MUNGU amezikataa,
kipi bora ni kuitinza bikra walimwengu wakuone ulikua mtiifu ( yani uwe mwema kwa binadam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.