Recent content by wa ukwee

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Ajira

    Anahitajika muhasibu kufanya kazi kwenye kampuni ya clearing and fowarding pamoja na usafirishaji. Mwenye sifa atume CV na vyeti kwenye email hii; info@endabashfreighters.com
  2. W

    JamiiForums Tanzania Anahitajika muhasibu

    Fursa ya ajira kwa wahasibu.
  3. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kukita wakati wa kubadili gear

    Habari wakuu. Naomba ushauri kwa wenye utaalamu na gearbox za automatic. SIku za karibuni nimepata changamoto na gari yangu Toyota Vanguard kwenye upande wa transmission. Wakati wa kubadili gear au nikipunguza mwendo sana gari inakita, nimebadili mounting mbili lakin tatizo bado halijaisha...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Umoja wa Ulaya kumtakia kila lililo la kheri Lissu

    Wazee wa fununu kazini, eti za ndani🤣🤣 Mkuu ulibahatika kuisikia hyo simu kutoka umoja wa ulaya? Huu uchaguzi kuna watu mtaachwa na stroke msipokua makini, mihemko imewazidi. Wajumbe wanawachora tuu wanangoja 21.01 wale kichwa
  5. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuchanganya oil na maji

    Gari ni toyota vanguard ya 2009. Inachemsha mkuu, na ukiongeza maji hayavuji mahali lakin huyaoni pia kujaa
  6. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuchanganya oil na maji

    Nipo dar mkuu
  7. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuchanganya oil na maji

    Akili kisoda mshangazi, unahisi kilindi nalinunua baiskeli sikuziona? Punguza shobo na mihemko, kama huna la kuchangia pita kimya.
  8. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari kuchanganya oil na maji

    Habari wana jamvi, Naomba kwa wenye ujuzi na uzoefu wa magari tusaidiane mawazo. Toyota vanguard inachanganya maji na oil. Kabla ya kufikia hatua hii ilikua inakula oil sana, kabla ya kilomita 3000 nusu ya oil imepotea. Juzi imeanza kuwa na miss sana ikitembea kama 5km inazima. Leo nimecheck...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Kubadilisha umiliki wa gari lililokuwa na msamaha wa kodi

    Habari wakuu Naomba msaada kwa wenye uelewa na sheria za kodi. Nimenunua gari ambalo kabla yangu kuna wamiliki watatu. Kadi ya gari haioneshi kama ina msamaha wa kodi, nimefanya mabadiliko ya umiliki na yamepita vizuri na kadi mpya nimepata ikiwa na details zangu. Wiki tatu baadae napigiwa...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Nimegonga gari ya kuazima, nimepata hasara ya Sh. Milioni Moja

    Hebu jiambie “kiranga koma”. Siku nyingine usiazime magari ya watu, request bolt au panda daladala kuepuka kadhia unnecessary kama hizo
  11. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Godoro la Tanfom Arusha na QFL Dodoma

    Mkuu kama hutojali naomba namba zao na mm nahitaji tanfom npo dar Sent using Jamii Forums mobile app
  12. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mabaka haya kwenye korodani dawa yake nini?

    Wakuu hiyo kitu inanitesa sana, nimetumia sonadem sana pamoja na intraconazole lakin siponi. Inapotea kwa muda mchache nisipotumia dawa hali inajirudia. Mwenye tiba ya kudumu tafadhari msaada wako unahitajika sana
  13. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la tumbo kujaa gesi na kupelekea mara kwa mara kutoa hewa chafu linahatarisha ndoa yangu

    Choo napata vizuri tu. Kuhusu soda si mpenzi kabisa.
  14. W

    JamiiForums Tanzania Tatizo la tumbo kujaa gesi na kupelekea mara kwa mara kutoa hewa chafu linahatarisha ndoa yangu

    Wakuu habari, Kwa zaidi ya week sasa nimekua nikisumbuliwa na tumbo. Linajaa gesi na kwa upande wa kushoto chini ya mbavu napata maumivu. Nimetumia dawa za kuondoa gas lakin matokeo bado. Ushauri wenu wakuu.
  15. W

    JamiiForums Tanzania Mtoto kulegea miguu

    Maelezo ya ziada tafadhari. Kumbemenda mtoto ndo inakuaje? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom