Mtoto kulegea miguu

Mtoto kulegea miguu

wa ukwee

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
264
Reaction score
78
Habari wana jamvi.
Tafadhali naombeni msaada wa mawazo, nimejaliwa kupata mtoto wa kike ana miezi mitano sasa. Changamoto iliyopo kwenye ukuaji wake ni kukaa kwa shida lakini pia miguu hawezi kuisimamia pale unapomsimamisha kwa kumshika.
Sina uzoefu sana na ukuaji wa mtoto maana ndo wa kwanza huyu. Kwa maelezo hayo kuna shida yoyote kwa mtoto huyu? Naombeni ushauri wenu wadau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpeleke hospital haraka pale doctors watamcheki kama itakua ni kawaida watakuambia na kama kunatatizo watakuelekeza sehem husika yakuanzia kwa matibabu zaid ...ni vyema ukienda sasa akiwa bado mdogo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mpeleke haraka hospital na kama upo Dar nenda pale recency hospital ukamuone bingwa wa mifupa.....
Mtoto wako ana umri gani?
 
hyo shida inawapata watoto wengi sana siku hiz..wanadai ni ukosefu wa madini..mpeleke hosp waanze mfanyia mazoez.. wengi wanachongewa viatu wanakuwa navyo siku nzima...atapona!
 
Mkuu " hamsalitiani kweli !!? Namaanisha Hakuna anayetoka nje ya mahusiano yenu " angalieni msije kum-bemenda mtoto tu...

tafadhali fuata ushauri wa wenzangu waliotangulia ku- comment hapo juu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu! Ananyonya sawasawa? Pia kuweni makini na mechi za ugenini wakati wa malezi.

Sent using Jamii Forums mobile app

mm hizo niliwah muuliza Dk Akaniambia ni maneno tu..enzi zile walikua wakitishwa hvyo ilo mtu asichepuke..hakuna uhusiano kbs na hayo mambo mkuu..kuna wale wanaofiwa na waume zao akiwa na mimba then akaolewa kwingine hao nao utasemaje?..usaarabu tu ni mtu usitoke toke nje ya mahusiano yako
.na ht ile ya kupata mimba sijui mtoto akanyonya maziwa yako nayo ni stereotype tu..nilipata mimba mm mwanangu bado mdg ananyonya..nilikua nalia tu nikaenda kwa dk akaishia kunicheka..akasema nyonyesha mtoto had mimba ya 7mths ndo umwachishe.kazana kula fresh..jaman mwanangu kila mtu alikua anataman kumbeba..hakutetereka ht kdg..na mm sikuchoka..kimbèmbe nilipojifungua..ikabidi wapige dabo dabo!
 
mm hizo niliwah muuliza Dk Akaniambia ni maneno tu..enzi zile walikua wakitishwa hvyo ilo mtu asichepuke..hakuna uhusiano kbs na hayo mambo mkuu..kuna wale wanaofiwa na waume zao akiwa na mimba then akaolewa kwingine hao nao utasemaje?..usaarabu tu ni mtu usitoke toke nje ya mahusiano yako
.na ht ile ya kupata mimba sijui mtoto akanyonya maziwa yako nayo ni stereotype tu..nilipata mimba mm mwanangu bado mdg ananyonya..nilikua nalia tu nikaenda kwa dk akaishia kunicheka..akasema nyonyesha mtoto had mimba ya 7mths ndo umwachishe.kazana kula fresh..jaman mwanangu kila mtu alikua anataman kumbeba..hakutetereka ht kdg..na mm sikuchoka..kimbèmbe nilipojifungua..ikabidi wapige dabo dabo!
HV ulizaa mfululizo why

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm hizo niliwah muuliza Dk Akaniambia ni maneno tu..enzi zile walikua wakitishwa hvyo ilo mtu asichepuke..hakuna uhusiano kbs na hayo mambo mkuu..kuna wale wanaofiwa na waume zao akiwa na mimba then akaolewa kwingine hao nao utasemaje?..usaarabu tu ni mtu usitoke toke nje ya mahusiano yako
.na ht ile ya kupata mimba sijui mtoto akanyonya maziwa yako nayo ni stereotype tu..nilipata mimba mm mwanangu bado mdg ananyonya..nilikua nalia tu nikaenda kwa dk akaishia kunicheka..akasema nyonyesha mtoto had mimba ya 7mths ndo umwachishe.kazana kula fresh..jaman mwanangu kila mtu alikua anataman kumbeba..hakutetereka ht kdg..na mm sikuchoka..kimbèmbe nilipojifungua..ikabidi wapige dabo dabo!
Hilo la mimba na kunyonyesha wala sipingani nawe, ila hilo la kuendekeza mechi wakati mtoto mdogo huwa linapunguza virutubisho na uzalishaji wa maziwa. Production inahamia kule unakokutumia sana so mtoto lazima atadhoofu, hawa madaktari huwa wanakataa lakini kwakua hakuna maandiko ya kitaalamu yanaeleza ila kiuhalisia wao wanatambua na wanaviepuka vitu hivi kwenye malezi ya watoto wao. Muulize daktari kuhusu suala la meno bandia(ya plastiki) kwa baadhi ya watoto watoto atakataa kabisa lakn wakt huo wake wameng'olewa, muulize kuhusu baadhi ya watoto kukatwa vimeo(vidaka tonge) atapinga kabisa lakn wake wamekatwa wakiwa bado wadogo, so akili kichwani mwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm hizo niliwah muuliza Dk Akaniambia ni maneno tu..enzi zile walikua wakitishwa hvyo ilo mtu asichepuke..hakuna uhusiano kbs na hayo mambo mkuu..kuna wale wanaofiwa na waume zao akiwa na mimba then akaolewa kwingine hao nao utasemaje?..usaarabu tu ni mtu usitoke toke nje ya mahusiano yako
.na ht ile ya kupata mimba sijui mtoto akanyonya maziwa yako nayo ni stereotype tu..nilipata mimba mm mwanangu bado mdg ananyonya..nilikua nalia tu nikaenda kwa dk akaishia kunicheka..akasema nyonyesha mtoto had mimba ya 7mths ndo umwachishe.kazana kula fresh..jaman mwanangu kila mtu alikua anataman kumbeba..hakutetereka ht kdg..na mm sikuchoka..kimbèmbe nilipojifungua..ikabidi wapige dabo dabo!
Pole kwa malezi dada, ila ulitakiwa huyo wa kwanza alipofikisha 1yr umwachishe kunyonya ili na mwenzake aweze kupata kunyonya vzr pia kulinda afya yako. Hao wanaoshangaa hata huku kwetu wapo na hapo hapo ukute wana watoto wamewapanga, kila mtu na malengo yake wengn wamechelewa kuzaa sababu ya masomo, changamoto za uzazi nk so wanaona bora waunge then wapumzike, wengn wanataka walee mapema then waanze mambo mengine. Hakuna principal hapo,wasikariri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la mimba na kunyonyesha wala sipingani nawe, ila hilo la kuendekeza mechi wakati mtoto mdogo huwa linapunguza virutubisho na uzalishaji wa maziwa. Production inahamia kule unakokutumia sana so mtoto lazima atadhoofu, hawa madaktari huwa wanakataa lakini kwakua hakuna maandiko ya kitaalamu yanaeleza ila kiuhalisia wao wanatambua na wanaviepuka vitu hivi kwenye malezi ya watoto wao. Muulize daktari kuhusu suala la meno bandia(ya plastiki) kwa baadhi ya watoto watoto atakataa kabisa lakn wakt huo wake wameng'olewa, muulize kuhusu baadhi ya watoto kukatwa vimeo(vidaka tonge) atapinga kabisa lakn wake wamekatwa wakiwa bado wadogo, so akili kichwani mwako.

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😶tena usinikumbushe mie nilishakaywa hyo kidaka tonge..nikaja ambiwa after 12 yrs kuwa kukatwa hbyo ni km kukeketwa😂😂 niliumia sana..hyo.kidaka tonge nayo ni uzushi tu..mie nikaja.gundua ni pumu aftre 18yrs kukatwa😏😏 hakunaga meno ya plastick na ww..kha!
 
Mtoto anapofikisha wiki sita anakuwa na maendeleo muhimu kwa ukiaji na hapa daktari hubaini kasoro kama zippo katika ukuaji.

Mtoto wa wiki sita:
huwezi kuingia kichwa
Hurusha miguu na mikono

Kwa watoto wa kiume huchekiwa korodani pia kama ziko size moja na mengineyo.

Ni kufanya tu miadi na daktari wa watoto.
 
Back
Top Bottom