Kuna cha chini chini kuwa ilikuwa na inamilikuwa na Mzee Kabila wakati ule anafanya harakati za kuchukua nchi pale DRC. Hivyo baada ya mzee kukata moto nadhani ndo ikawa mwisho wake.
Mkuu kuna jambo haliko sawa...kwamba unasema umeamua kuachana na siasa za Tanzania ili usubiri wengine waamue nini utalipa katika kila muamala? nini utalipa utakapoingiza bidhaa kutoka nchi? Umechagua watu waamue kwa niaba yako ili juu ya maisha yako ya baadae wakati bado unaweza kufanya kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.