Narudia tena ....
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati matukio yanatokea...
Ivyo vyote vilivyoko kwa Bible ni baada ya kutokea ndipo vikaandikwa
Kingine ni kwamba
Naona unajarib kulazimisha fikra zako kuhoanisha maisha ya BC na Sasa
Kwa ninavo elew japo nikidog
Haya maandik yameandikwa baada ya hayo matukio kutokea....
Iyo miaka 120 aliyo pewa mwanadam ni baada ya mwanadam ku muhuz Mungu ,hii inamaanisha walio ishi hawal walihish kwa muda mrefu zaid ...
Kumbuka!!
Maandiko yameandikwa baada ya matukio kutokea c wakati...
Habari!!
Naomben unisaidie kunipa list ya shule za o level ambazo mwanafunz anawez soma kwa vitendo zaid ...
Nina Mdogo wangu anapenda sana mambo ya electrical na anauwezo mkubwa sana wa ku deal na vitu ya ki electronics..sas iv yupo kidato cha pili
Ameanza ku deal na ivi vitu tangu akiwa Mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.