Huo ni uonevu mkubwa sana!Sijui kwanini Hawa watu waliopitisha Hii kitu hawana hata hofu ya Mungu kwa KUFANYA dhambi kubwa kiasi hiki!Hakika hiki kikotoo kinatakiwa kipingwe na Kila mpenda Haki!
Heri ujinga kuliko upumbavu!Maamuzi na maelekezo ya mahakama yako wazi sana!lakini.....mh!hizo comment zingine duh!hakika tutafika tuendako tukiwa tumechoka sana!Ni heri enzi zile za chuo kikuu kimoja!
Kimsingi aliyeharibu maisha ya watanzania wengi ni huyo ndugu aliyempokea JK kijiti!Sina hakika kama mambo yatakuja kukaa Sawa tena!Tuendelee kumuombea mama kwani hata yeye hana namna kwa vile alikuta kila kitu kimevurugwa!
Nadhani ungewapigia kelele hao walioko madarakani! Mbowe chama chake hakijawahi kushika dola bado! Mkuu hebu tulia kwanza utafakari vizuri utakuja kuona kuwa unamkosea huyo mwamba bila sababu yoyote!
Ni kweli jamaa anaijua kazi yake vizuri!Hana muda wa kuzunguka zunguka na pia anauliza maswali yenye hoja!Namkubali sana huyu mwamba!Pia kuna jamaa mmoja yuko kule Star TV naye anajitahidi!Nadhani anaitwa Odemba!
Wakuu nadhani Mada hapo juu inajieleza naomba mnisaidie isije ikawa huyu wakala kanipiga!Leo nilienda kutoa hela kwa wakala wa halopesa lakini nikakuta ujumbe unasema tozo ya serikali kiasi cha shilingi 306.00 kimekatwa! Nawasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.