Daah itakua poa sana kama mnawajari wageni kiivo. Mdogo angu nimempa laki 4 tu, kwa sasa anasubiri admission letter coz haijafika. Ila jpili atakua safarini kuja moshi.
poa poa, vp kuhusu ada ya mwanzo ya kuanzia? na unajuaje kiasi cha mkopo unacholipiwa na bodi ukizingatia muda umekwisha wa kuripot ambayo ni tarehe 27. Bachelor of science.
Usilolijua ni usiku wa giza, hatimae kapata chuo na wale wenye division 3 walijiamini sana wamekosa first selection wanasubiri second.. "Mawazo ya watu changanya na akili yako".
Kiongoz shadcore, kitabu kilichopo TCU ukurasa wa 10 kinasema
1.
For the new grading system A to C is PRINCIPAL PASS while D is PASS2. For an applicant to qualify to join higher education institution MUST have at least two Dsin form Six examination from core subjects. This applies to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.