Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
mi nshapata join nenda posta adress uloandika tcu utaikuta
poa poa, vp kuhusu ada ya mwanzo ya kuanzia? na unajuaje kiasi cha mkopo unacholipiwa na bodi ukizingatia muda umekwisha wa kuripot ambayo ni tarehe 27. Bachelor of science.mi nshapata join nenda posta adress uloandika tcu utaikuta
je mie ninayetoka tabora?harafu we we upo mwaka wa ngapi?na unasomea nini hapo?
Cha muhimu jitahidini mje na hiyo ya registration kwanza then ada mtajua huku after heslb wakitoa majina,
ila na cha kuongezea jitahidi pia uje na hela ya kupangisha chumba iwe ndani au nje, hostel ndani nafasi sio za kutosha sna, jitahidi uwahi. Ila nje ziko za kutosha bt ukiwahi utapata za karibu kabisa na chuo, Serekali ya wanafunzi tunawawekea mipango ya kuwakaribisha kuanzia leo na kuendelea ingawa rasmi mnatakiwa kureport kesho
Daah itakua poa sana kama mnawajari wageni kiivo. Mdogo angu nimempa laki 4 tu, kwa sasa anasubiri admission letter coz haijafika. Ila jpili atakua safarini kuja moshi.
Kama hana ela nyngne aisee hyo ulompa ni kidogo sana kwan inabidi alipe laki tatu na 80 ndo asajiliwe na hapo bado kupata chumba ambapo inabidi alipe miez mitatu au sita kuanzia 35 kwa mwez na bado kununua godoro na kama atapenda kuishi hostel itabid alipe laki mbili na nusu ndo apewe chumba
Kwa hiyo bora akae nje au hostel za ndani?
Daah itakua poa sana kama mnawajari wageni kiivo. Mdogo angu nimempa laki 4 tu, kwa sasa anasubiri admission letter coz haijafika. Ila jpili atakua safarini kuja moshi.
Jamani me naombeni msaada admission letter unaipataje