hostel za watu binafsi et zipo? vipi nazo huwa znajaa uspowah?
vp kuhusu kupata joining instruction?Kwa wale mliopata post ya kuja kilichokuwa chuo kushiriki cha Mt Augustino tawi la moshi, (MWENGE)
NAKARIBISHA MASWALI YENU KUHUSU CHUO CHETU.
HONGERENI SANA KWA KUCHAGULIWA CHUONI HAPA, INGAWA KWA SASA TUMEPATA USAJIRI RASMI WA KUWA CHUO KAMILI, KUTOKA TAWI MAMA LA ST AUGUSTINE
vp kuhusu kupata joining instruction?
Karibun Mwenge catholic university (mwecau)
Mara nyingi mwaka wa kwanza wanapoingia kwenye manispaa ya moshi ukumbana na faini zinazosababishwa na utupaji taka ovyo, jaman kuwen makin mkiingia wa mji wa moshi kwan haurusiwi kudondosha kitu chochote vinginevyo fain ya elfu 50 itakuhusu, alafu usafiri wa kukufikisha mwenge unapanda hiace za kcms ambapo unashukia kituo cha mwisho kinachoitwa ushirika wa neema, kama utakuwa na mizigo na ukafika mjin kabla giza halijaingia gharama za taxi haizid elfu nane ikiwa usiku inaweza fika hadi elfu kumi kwahyo msijedanganywa kwakuwa ni wageni
vp kuhusu kupata joining instruction?
hostel za watu binafsi et zipo? vipi nazo huwa znajaa uspowah?
Unaweza kupata hostel ndio hata ukichelewa wiki tatu ni wewe tu kwa jinsi utakavyo ongea vizur na dean of students, akikupiga beat ukakubali mapema itakula kwako, ila nakushauri bora uwahi kufika na utafute magheto maana wanaokaaga hostel wakishazoea wanaonaga hostel inabana kwahyo utafuta vyumba vya kupanga ili kuwa huru zaidi lakin kama una elements za kilokole hostel itakufaa sana
Asante sana mkuu kwa kunisaidia kuwahabarisha vijana wetu waliochaguliwa kuja MWECAU,
nilikuwa tity kidogo
tuko pamoja bed arts
Hostel zipo nyingi sanaaa za watu binafsi chache zipo ndani za watu binafsihostel za watu binafsi et zipo? vipi nazo huwa znajaa uspowah?