Recent content by Vyamavingi

  1. V

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mh Rais Samia, tupo kwenye janga la kinyang’anywa kila tulichonacho ,je kivipi ndio suluhu yetu

    Nchi viongozi ni wawili tu: rais na waziri mkuu! Yaani mifumo ya utendaji kazi serikalini imekufa, wanategemewa wawili tu! Tuko taabuni. Vv
  2. V

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Kosa la jinai na shambulio la kudhuru mwili unakimbilia kwa menejimenti. Polisi huko hakuna? Vv
  3. V

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    No reforms no election, no new constitution no elecyoon, no TL no election. #Free Tundu Lisu # New Constitution. Vv
  4. V

    JamiiForums Tanzania Tujihoji: Kama kweli Nchimbi ni msaliti kama Yuda, angeweza kuachiwa madaraka ya kuitawala nchi kwa zaidi ya siku tatu?

    Mbaya zaidi mbunge Simai anamtuhumu VP ndani ya Bunge la Tanganyika na hakuna mbunge wala naibu Spika anamtaka atoe ushahidi. Angekuwa mbunge wa chama kingine ungesikia zogo kubwa kutoka kwa spika na wabunge wa CCM. Vv
  5. V

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Paskali, hawa watawala wetu wenyewe hawana haya maslahi ya taifa wala nia njema na taifa. Vv
  6. V

    JamiiForums Tanzania Mahakama yafuta kesi ya mgawanyo wa mali CHADEMA

    Huo ujasiri hawana, hata CCM walioratibu hiyo kesi hawawezi kukubali tena kugharamia hiyo kesi. BTW Mahakama imejivua nguo na kujiaibisha mbele ya Watanzania, Jaji mkuu Masaju amchukulie hatua stahiki Jaji Mwanga, Jaji Mwanga na waliomteua wameaibisha mahakama na mfumo wa haki pakubwa sana. Vv
  7. V

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Yericko hapana, no, nay. Vv
  8. V

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    Damu zao zinalilia haki; zinadai haki, wazaz8na ndugu zao wanalilia haki kwa damu za wapendwa wao. Vv
  9. V

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Hatimaye 'wasiojulikana,' sasa wamejulikana, sijui kesho kama wataendelea kutumia msamiati wa 'wasiojukikana', pole sana Djunbe, lakini hongera kwa ujasiri wako ambao umewaweka hadharani watekaji na wauwaji walioj8ficja kwa jina la 'wasiojulikana'. Wasiojulikana = polisi. Vv
  10. V

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Hii sio ishara njema kwa mahusiano baina ya US na Tz; ni sawa na kuwatangazia Wamarekani kuwa sisi hatujallli haki za watu. Vv
  11. V

    JamiiForums Tanzania Fikiria, Rais wa Kenya anaongelea uwekezaji katika nchi yetu, Rais wa Tanzania anamhamasisha waue vijana

    Spirit of Jezebel is at work in Tanzania. Kwa kauli yake kuwatandika mikwaju Gen Z, lile somo lililosomwa siku ya ibada ya mazishi ya Kadinali Pengo, "Je, umeua, ukatamalaki" limetimilika. Vv
  12. V

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Kuna watu wanatumia video za matukio ya Oktoba 29 kama mtaji wa kisiasa

    Matukio na video za mauaji ya 29 Oktoba yatawatesa CCM siku zote; na baada ya jitihada za Tume ya Chande kupooza na kuwaosha kwa ripoti yake na sidhani kama wanapata usiingizi, kila kiongozi anaropokwa na kauli tata kuhusu 29 Oktoba. Ni VP Nchimbi pekee ndio angalau yuko salama maana kauli zake...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Kwa hiyo serikali imemlipia air ticket, imemlipia hoteli, imempa na per diems za kutosha kijinga-jinga tu wakati watu wetu wana shida mpaka kwenye kope. Wenzetu huwezi kukuta serikali inafanya matumizi ya kipuuzi namna hii, sijui itatuchukua miaka mingapi kupata ufahamu. Angalau JPM alikuwa na...
  14. V

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Nyanda aachiwa akiwa hai

    Kinachokusevu wewe ni kuwaa kama panya, unauma na kupuliza. Vv
Back
Top Bottom