Recent content by Vyamavingi

  1. V

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Ugaidi ya Dkt. Kaijage yaahirishwa hadi Agosti 19, 2026

    Watawala wanataka kuviza hadi fikra za watawaliwa. Wanawataka wanataaluma aina ya Prof. Kabudi ambao wanaamini kuwa kuwa vyuo vikuu vya umma ni majalala. Vv
  2. V

    JamiiForums Tanzania KERO Mwendokasi hawana kadi mpya? Abiria wanasota kuomba wenye kadi wawalipie kila siku

    Hutuelewa tuliposema Mwendokasi ndio biashara pekee inayopata hasara kwa kuwa na wateja wengi? Vv
  3. V

    JamiiForums Tanzania Kwa nyuzi hizi, ni wazi kwamba latra inapaswa kuimarisha utekelezaji wa majukumu yake, hususani kitengo cha enforcement

    Kama unalalamikia Dar huko Arusha nauli ya daladala ni tsh.1,000/= kituo kwa kituo na haijawahi kushuka. Latra ni kibogoyo. Vv
  4. V

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Na IWE HIVYO Vv
  5. V

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Nchi hii ni Mahakama ya Rufaa pekee ambayo inaweza kuikatalia Jamhuri, lakini safari ya kuifikia imejaa maumivu maana unakuwa umeshapigika na unaweza kukata tamaa. Vv
  6. V

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje

    Tunayo rasimu ya Katiba ya Tume wa Warioba, ilipigiwa kura lini ya kukataliwa hadi tuandae katiba nyingine? Yaani tutupe 300b zilizotumiwa kuandaa 'katiba ya Warioba'? Rasimu ya katiba ya Warioba ipigiwe kura kwanza kwa Tume nyingine huru ya uchaguzi, ikikataliwa ndipo tuandae katiba nyingine. Vv
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi Tanzania zina mabati marefu?

    Mat Hapo ni matumizi mabaya ya raslimali/fedha, wanatupa pesa nyingi bila sababu ya maana. Vv
  8. V

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini kitambulisho cha mpiga kura kinatoka ndani ya siku moja, cha NIDA kinakaa miezi?

    NIDA ID haina maslahi makubwa kwa CCM, CCM wanahitaji wapiga kura kuliko Watanzania. Vv
  9. V

    JamiiForums Tanzania Baba Fed amemuoa mkwe wake chap baada ya Fed kumuacha

    Labda ni suna, mtume Muhammad alimuoa mtalaka wa mtoto wake pia.
  10. V

    JamiiForums Tanzania Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant

    Pascal ndiye mwanasheria pekee hadi sasa anayeamini hii kesi ya uhaini ya TL ni halisi. Vv
  11. V

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Nilitumia milioni 400 kwenye kampeni za Urais uchaguzi mkuu 2025

    Hawa wagombea pandikizi walikula hela yetu aisee. Jirani yangu wa chama rafiki akigombea urais, alikuwa na kagari kamoja sasa compound yake imejaa magari mazuri. Vv
  12. V

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama Vya Siasa Aingilie Kati na Kumsimamisha Uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea

    Msajili wa vyama, Mkurugenzi wa NEC, na Polisi ndio silaha za CCM dhidi ya Chadema. Vv
  13. V

    JamiiForums Tanzania RC Simon Sirro: Kwa uzoefu wa askari wetu kifo cha dereva wa Heche kilikuwa cha kawaida

    RC Sirro ni polisi, na polisi wetu wanafanya kazi kwa mazoea, hawana weledi na hata wakisoma hawazingatii taaluma. Vv
  14. V

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Tutaanza kuwahoji wanaochochea waziwazi uvunjifu wa amani nchini

    Sheikh Mwaipopo wameshamkamata na kumhoji? Tuanzie hapo. Vv
Back
Top Bottom