Watawala wanataka kuviza hadi fikra za watawaliwa. Wanawataka wanataaluma aina ya Prof. Kabudi ambao wanaamini kuwa kuwa vyuo vikuu vya umma ni majalala.
Vv
Nchi hii ni Mahakama ya Rufaa pekee ambayo inaweza kuikatalia Jamhuri, lakini safari ya kuifikia imejaa maumivu maana unakuwa umeshapigika na unaweza kukata tamaa.
Vv
Tunayo rasimu ya Katiba ya Tume wa Warioba, ilipigiwa kura lini ya kukataliwa hadi tuandae katiba nyingine? Yaani tutupe 300b zilizotumiwa kuandaa 'katiba ya Warioba'? Rasimu ya katiba ya Warioba ipigiwe kura kwanza kwa Tume nyingine huru ya uchaguzi, ikikataliwa ndipo tuandae katiba nyingine.
Vv
Hawa wagombea pandikizi walikula hela yetu aisee. Jirani yangu wa chama rafiki akigombea urais, alikuwa na kagari kamoja sasa compound yake imejaa magari mazuri.
Vv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.