Recent content by Vyamavingi

  1. V

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Wasiwasi gani unaotanda kwa ajili ya hiyo Tume? Kwamba kuna wauwaji watatajwa au kushitakiwa? Kwamba sababu za vurugu huzijui na unategemea Tume ikupe sababu? Vv
  2. V

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Hata tukatae vipi, Mahakama yetu haiminiki, na haijiamini. Tunakwenda huko kwa kuwa hatuna namna. Vv
  3. V

    Bora kuwa single!

    Hauko sawa mkuu Mkuu, tafuta mshauri nasaha, hauko sawa. Sasa hiyo miradi ina faida gani kama hutaki kuwa na familia? Hiyo miradi ni robots, itakusaidia kukupeleka kwa matibabu ukiugua? Vv
  4. V

    Bora kuwa single!

    Afadhali afie chumbani kwake pekee kuliko kuanza kuhudumiwa na mama/dada kumuogesha na kumbadilisha nguo. Hawa ndio baadaye wanageuka kuwa mizigo kwa ndugu na kuwapa sonona wazazi wao, wazazi waliwaogesha na kuwabadilisha nguo wakiwa watoto, wanafika miaka 50 na zaidi wazazi wanaanza kuwahudumia...
  5. V

    Huyu derevea yupo sawa kweli? Kwanini amehatarisha maisha yake na wenzake hivi?

    Huyo dereva hamnazo. Tajiri anajinyima, ananunua gari, anamuajiri derevq na kumkabidhi gari, halafu anaenda kuliangusha kijinga kama hivyo, jamaa akimpiga shaba tutamlaumu? Vv
  6. V

    Bora kuwa single!

    Fainali uzeeni mkuu; na kwa umri wako hauko mbali na fainali. Vv
  7. V

    Madeleka: Katiba tuliyonayo na inayotetewa kwamba ni nzuri ilitengenezwa na watu 20 ndani ya wiki 2

    Ni miaka 40 sasa tangu Nyerere aondoke madarakani, tumebaki na katiba ileile, wamepita maraisi 4, huyu wa sasa ni wa 5. Miaka 40 sasa bado tunamlaumu Nyerere kwa mapungufu yake. Huu ni ujuha, waliopo waonyeshe uongozi kama kweli wanalipenda taifa hili. Vv
  8. V

    Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi

    Sahara Media Group inayofilisiwa nayo iko njiani kutua mikononi mwa Rostam, jamaa atakuwa na TV na Radio [kutoka Sahara Media], na magazeti ya Mwananchi, Citizen, na Mwanaspoti. Chombo huru cha habari watabaki IPP Media pekee. Vv
  9. V

    Bilioni 650 za DP World Zamkuna Makala. Zaongeza Ufanisi wa Bandari ya Dar kutoka Makasha 7,000 Hadi Makasha 20,000

    Sasa kama mapato yameongezeka hivyo, kwa nini wameanzisha tozo ya kuboresha miundo mbinu ya Bandari? Si watumie hilo ongezeko la mapato kuboresha miundombinu ya bandari ? Kumbuka kuwa kuanzisha tozo hiyo kunaongeza gharama za usafirishaji kwa watumiaji na kuwakimbiza wateja. Vv
  10. V

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Samia ndiye Muislamu wa kwanza kuwa rais wa JMT? Samia ndio Mzanzibari wa kwanza kuwa rais wa JMT? Vv
  11. V

    Hivi Watu wasiokunywa pombe huwa wana akili timamu kweli?

    Aisee, tuombe radhi mkuu, au mwenzetu unamiliki bar, unaona uchungu hupati hela zetu? Vv
  12. V

    Je! Umeua, ukatamalaki? Bwana asema hivi, Mahali pale mbwa walipoiramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba na damu yako!

    Asante kwamba umetambua kuwa ulikurupuka. Tusipuuze kwa kufasiri neno kimaslahi, neno linajisimamia,. Vv
  13. V

    Nchimbi: Mimi hata mambo ya kugombana kivyama vyama siyapendi naona ni ujinga tu

    Head prefect wangu anawalia watu timing tu hapo. Vv
  14. V

    PostGE2025 Lazaro Komba wa CCM ashinda Ubunge jimbo la Peramiho

    Nami nimeshangaa, naamini hata machawa hawakujua kama uchaguzi umefanyika. Vv
  15. V

    Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Mkuu hilo ni neno la BWANA, halijatafsiriwa lakini tunahamanika,. Mungu ni mwema sana, Biblia inasema: "Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao" Zab. 107:20 Inaongeza kusema: "Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha...
Back
Top Bottom