Mbaya zaidi mbunge Simai anamtuhumu VP ndani ya Bunge la Tanganyika na hakuna mbunge wala naibu Spika anamtaka atoe ushahidi. Angekuwa mbunge wa chama kingine ungesikia zogo kubwa kutoka kwa spika na wabunge wa CCM.
Vv
Huo ujasiri hawana, hata CCM walioratibu hiyo kesi hawawezi kukubali tena kugharamia hiyo kesi.
BTW Mahakama imejivua nguo na kujiaibisha mbele ya Watanzania, Jaji mkuu Masaju amchukulie hatua stahiki Jaji Mwanga, Jaji Mwanga na waliomteua wameaibisha mahakama na mfumo wa haki pakubwa sana.
Vv
Hatimaye 'wasiojulikana,' sasa wamejulikana, sijui kesho kama wataendelea kutumia msamiati wa 'wasiojukikana', pole sana Djunbe, lakini hongera kwa ujasiri wako ambao umewaweka hadharani watekaji na wauwaji walioj8ficja kwa jina la 'wasiojulikana'.
Wasiojulikana = polisi.
Vv
Spirit of Jezebel is at work in Tanzania. Kwa kauli yake kuwatandika mikwaju Gen Z, lile somo lililosomwa siku ya ibada ya mazishi ya Kadinali Pengo, "Je, umeua, ukatamalaki" limetimilika.
Vv
Matukio na video za mauaji ya 29 Oktoba yatawatesa CCM siku zote; na baada ya jitihada za Tume ya Chande kupooza na kuwaosha kwa ripoti yake na sidhani kama wanapata usiingizi, kila kiongozi anaropokwa na kauli tata kuhusu 29 Oktoba.
Ni VP Nchimbi pekee ndio angalau yuko salama maana kauli zake...
Kwa hiyo serikali imemlipia air ticket, imemlipia hoteli, imempa na per diems za kutosha kijinga-jinga tu wakati watu wetu wana shida mpaka kwenye kope.
Wenzetu huwezi kukuta serikali inafanya matumizi ya kipuuzi namna hii, sijui itatuchukua miaka mingapi kupata ufahamu. Angalau JPM alikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.