Mafuriko huko Athi River Kenya juzi nayo sababu ni Nyerere Hydro? Mafuriko mto Congo huko Congo DR ni bwawa la Nyerere? Mafuriko huko Bujumbura Burundi hadi ziwa Tanganyika kufurika na kuzamisha nyumba za watu chanzo ni Rufiji? Mafuriko mengine ambayo yametokea Russia majuzi na kuzamisha vijiji...
Nimeona pia hata kule Mlimba reli ya TAZARA imefunikwa na matope na miti, imebidi JWTZ watume wanajeshi kuokoa abiria waliokwama porini siku 2. Huko nako JPM hakufanya EIA ya reli ujenzi wa TAZARA?
Vv
Yaani hatuwezi kutengeneza hata miswaki na vijiti vya kuchokolea meno ndio tususie bidhaa za Wayahudi! Kwanza hata hela za kuagiza bidhaa za Wayahudi hatuna.
Vv
Mawazo mazuri lakini maswali ni haya:
1. Wapigaji wameondoka?
2. Mikopo waliyokopeshana na mingine kukopeshwa kwa mashirika ya umma imerejeshwa?
Tatizo la NHIF sio fedha bali usimamizi mbovu kama ilivyo katika mashirika mengi ya umma, wakipewa matrioni usishangae serikali ikaanza kuchota fedha...
Rangi za vichwa na mabehewa hazi-reflect alama yoyote ya Tanzania, wameshindwa hata kupaka rangi mojawapo iliyopo kwenye bendera ya taifa , nembo ya taifa au hata mlima Kilimanjaro.
Vv
Hilo ndio linafikirisha na kuona jinsi viongozi wetu vinavyowaza. Wanawaza kuongeza gharama za maisha ya watu wao badala ya kuwarahisishia. Treni ya dizeli ambayo uendeshaji ni ghali kwa ajili ya kutumia dizeli nauli iwe rahisi kuliko hii SGR ya umeme! Akili gani hizo?
Yaani kwa viwango vya...
Lucas, hebu jiulize swali rahisi, hivi inawezekanaje ukawa shahidi wa aliyeibiwa wakati yeye aliyeibiwa yuko kimya? Wewe ukiibiwa na mwizi wako unamwona kila siku na kupishana naye barabarani na polisi wapo utamuacha kweli? Hizi tuhuma ni wajinga pekee ndio wanaziamini.
Vv
Mke wa ngapi huyu? Najua Maulid alikuwa na wake wawili. Huyu Nusrat naye kaachika au alizaaa na mshefa Maulid..... Hizi ndoa za mwezi wa Ramadhani hazina konakona, ni rahisi tu.
Vv
Mhubiri 1
1 Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi,mfalme katika Yerusalemu.
2 Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.
3 Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?
8 Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.