Wasiwasi gani unaotanda kwa ajili ya hiyo Tume?
Kwamba kuna wauwaji watatajwa au kushitakiwa?
Kwamba sababu za vurugu huzijui na unategemea Tume ikupe sababu?
Vv
Hauko sawa mkuu
Mkuu, tafuta mshauri nasaha, hauko sawa.
Sasa hiyo miradi ina faida gani kama hutaki kuwa na familia? Hiyo miradi ni robots, itakusaidia kukupeleka kwa matibabu ukiugua?
Vv
Afadhali afie chumbani kwake pekee kuliko kuanza kuhudumiwa na mama/dada kumuogesha na kumbadilisha nguo. Hawa ndio baadaye wanageuka kuwa mizigo kwa ndugu na kuwapa sonona wazazi wao, wazazi waliwaogesha na kuwabadilisha nguo wakiwa watoto, wanafika miaka 50 na zaidi wazazi wanaanza kuwahudumia...
Ni miaka 40 sasa tangu Nyerere aondoke madarakani, tumebaki na katiba ileile, wamepita maraisi 4, huyu wa sasa ni wa 5.
Miaka 40 sasa bado tunamlaumu Nyerere kwa mapungufu yake. Huu ni ujuha, waliopo waonyeshe uongozi kama kweli wanalipenda taifa hili.
Vv
Sahara Media Group inayofilisiwa nayo iko njiani kutua mikononi mwa Rostam, jamaa atakuwa na TV na Radio [kutoka Sahara Media], na magazeti ya Mwananchi, Citizen, na Mwanaspoti. Chombo huru cha habari watabaki IPP Media pekee.
Vv
Sasa kama mapato yameongezeka hivyo, kwa nini wameanzisha tozo ya kuboresha miundo mbinu ya Bandari? Si watumie hilo ongezeko la mapato kuboresha miundombinu ya bandari ?
Kumbuka kuwa kuanzisha tozo hiyo kunaongeza gharama za usafirishaji kwa watumiaji na kuwakimbiza wateja.
Vv
Mkuu hilo ni neno la BWANA, halijatafsiriwa lakini tunahamanika,.
Mungu ni mwema sana, Biblia inasema: "Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao" Zab. 107:20
Inaongeza kusema:
"Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.