Recent content by Vyamavingi

  1. V

    Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

    Wacha wajifariji, vipigo walivyowahi kukutana navyo kutoka Simba bado vinawatesa. Vv
  2. V

    Ujenzi wa Bwawa la Umeme Rufiji, Je ISO 9001:2015 & ISO 45001:2018 Zilifuatwa?

    Mafuriko huko Athi River Kenya juzi nayo sababu ni Nyerere Hydro? Mafuriko mto Congo huko Congo DR ni bwawa la Nyerere? Mafuriko huko Bujumbura Burundi hadi ziwa Tanganyika kufurika na kuzamisha nyumba za watu chanzo ni Rufiji? Mafuriko mengine ambayo yametokea Russia majuzi na kuzamisha vijiji...
  3. V

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Nimeona pia hata kule Mlimba reli ya TAZARA imefunikwa na matope na miti, imebidi JWTZ watume wanajeshi kuokoa abiria waliokwama porini siku 2. Huko nako JPM hakufanya EIA ya reli ujenzi wa TAZARA? Vv
  4. V

    Watanzania tuungane kwa pamoja kususia bidhaa za Wazayuni

    Yaani hatuwezi kutengeneza hata miswaki na vijiti vya kuchokolea meno ndio tususie bidhaa za Wayahudi! Kwanza hata hela za kuagiza bidhaa za Wayahudi hatuna. Vv
  5. V

    Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Mawazo mazuri lakini maswali ni haya: 1. Wapigaji wameondoka? 2. Mikopo waliyokopeshana na mingine kukopeshwa kwa mashirika ya umma imerejeshwa? Tatizo la NHIF sio fedha bali usimamizi mbovu kama ilivyo katika mashirika mengi ya umma, wakipewa matrioni usishangae serikali ikaanza kuchota fedha...
  6. V

    Ally Kamwe amjibu Ahmed Ally

    Upuuzi mtupu, sio kila kitu kijibiwe, angekaa kimya ingekuwa vema zaidi maana halina hasara yoyote kwa klabu yake. Vv
  7. V

    TRC: Seti ya Kwanza ya Treni ya Kisasa ya EMU, Vichwa Vitano vya Umeme na Mabehewa Matatu ya Abiria imewasili

    Rangi za vichwa na mabehewa hazi-reflect alama yoyote ya Tanzania, wameshindwa hata kupaka rangi mojawapo iliyopo kwenye bendera ya taifa , nembo ya taifa au hata mlima Kilimanjaro. Vv
  8. V

    Waziri Mkuu: Tsh. Trilioni 10.69 zimetumika kujenga Reli ya SGR Dar mpaka Moro

    Sidhani kama PM ameeleweka ktk hili. Siamini kama hii 10tr ya kipande cha Dar -Moro pekee. Vv
  9. V

    SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

    Hilo ndio linafikirisha na kuona jinsi viongozi wetu vinavyowaza. Wanawaza kuongeza gharama za maisha ya watu wao badala ya kuwarahisishia. Treni ya dizeli ambayo uendeshaji ni ghali kwa ajili ya kutumia dizeli nauli iwe rahisi kuliko hii SGR ya umeme! Akili gani hizo? Yaani kwa viwango vya...
  10. V

    Mrisho Gambo: Ninao ushahidi wa watu waliotapeliwa Magari na Godbless Lema

    Lucas, hebu jiulize swali rahisi, hivi inawezekanaje ukawa shahidi wa aliyeibiwa wakati yeye aliyeibiwa yuko kimya? Wewe ukiibiwa na mwizi wako unamwona kila siku na kupishana naye barabarani na polisi wapo utamuacha kweli? Hizi tuhuma ni wajinga pekee ndio wanaziamini. Vv
  11. V

    Hongera Maulid Kitenge na Nusrat Hanje kufunga ndoa

    Mke wa ngapi huyu? Najua Maulid alikuwa na wake wawili. Huyu Nusrat naye kaachika au alizaaa na mshefa Maulid..... Hizi ndoa za mwezi wa Ramadhani hazina konakona, ni rahisi tu. Vv
  12. V

    Utafiti: Watu ulimwenguni kote wanapoteza furaha kadri miaka inavyokwenda

    Mhubiri 1 1 Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi,mfalme katika Yerusalemu. 2 Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili. 3 Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua? 8 Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai...
  13. V

    Mwigulu na TRC, kuhusu mkandarasi CCECC, tuzungumze kizalendo kidogo!

    Huyo mwamba amekaa kimya kuhusu tuhuma hii, sijui maana yake, hii ni tuhuma nzito kwa mtu mweledi na mkweli. Vv
  14. V

    Ajira za wahudumu wa treni ya SGR zilitangazwa wapi?

    Coach attendants wa TRC kwenye ordinary train ni wanaume. Vv
Back
Top Bottom