Recent content by VVIPTZ

  1. V

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Yanga chukueni na Iñno Jospin Loemba Mtakuwa mmesaidia sana club ya simba
  2. V

    JamiiForums Tanzania Sapraiziiii: Yanga yamsajili Selemani Mwalimu siku mbili baada ya kunukuliwa akisema ataichezea Simba Msimu wa 2026/27

    Binafsi naona hana madhara sana, wamchukue na Iñno loemba,
  3. V

    JamiiForums Tanzania Elimu, Fedha, Zisikutoe Kwenye Nafasi yako Mwanamke.

    Sifa Kuu ya Nafsi ni kujihesabia haki hata kama imekosea, ni vigumu kukubali makosa, Sio Ajabu ukaona Mtu badala ya kutengeneza Mambo, anazidi kuharibu, kwani tayari Moyo Umeumia. Na watu wanaomsikiliza Wanaambukizwa Roho YA Uchungu na Ukosefu wakifikiri wanakuwa empowerd. Kumbe Cheo na Nafasi...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Utatu ni wa majukumu si mamlaka. Yesu ni Mungu lakini si Mkuu kuliko Baba

    Mungu ni cheo ambacho kimetokea baada ya Neno kufanya uumbaji Malaika na viumbe wengine kabla uumbaji kufanyika kulikuwa hakuna Mungu kwa sababu cheo Cha Mungu kina demand ibada MUNGU Nİ MMOJA. ILA HUJIFUNUA KULINGANA NA WAKATI NA UTENDAJI WAKE. TUNAMUOMBA MUNGU KWA JINA LA YESU ABARIKI CHAKULA...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Hili Tatizo la Eliya kati ya Ye Yesu na Yohana nani alisema ukweli?

    Yohana Ali host Roho ya Eliya bila yeye kuwa na Ufahamu, na hili fumbo mtu pekee aliyeweza kulifumbua alikuwa YESU. Mtu Anaweza kuhost roho ya mtu bila yeye kuwa Na Ufahamu ni kawaida japo wengine hupata NEEMA ya KUJUA.
  6. V

    JamiiForums Tanzania BIASHARA YA HARD DISK

    Weka bei
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kuna Msanii katoa Wimbo wa Samia

    This Guy is serious take a look at this https://youtu.be/dGXbIx4mS6w?si=7gAtxh1cknk8GADw
  8. V

    JamiiForums Tanzania Kuna Msanii katoa Wimbo wa Samia

    https://youtu.be/sUBRcLf3X10?si=P-jveXFSu5TlMrTv
  9. V

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Linasakwa kwa udi na uvumba
  10. V

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    IRAN TAYARI WANALO BOMU LA NYUKILIA NETANYAHU SIO MWEHU ANACHOFANYA Nİ KUMPIGA ADUI KABLA HAJAKUMALIZA NA NDICHO ANACHOFANYA ANALENGA MAENEO YOTE YENYE POSSIBILITY YA KUWA NA HUO MZIGO.
  11. V

    JamiiForums Tanzania Mwanangu analia sana wakati wa maombi

    Pole inaweza KUWA na vitu vya Aina mbili hii ya kwanza ni mazingira tu ya ukuaji na hii ya pili ni hii ya uwepo wa nguvu tofauti hapa naomba nieleweke sio kila kanisa Lina nguvu halisi ya Mungu pili yamkini kuna roho tofauti Zina Anza kumnyemelea Mtoto mara nyingi huwa ni maroho ya urithi...
  12. V

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Mashimo ahukumiwa kwenda jela miaka 2 na miezi 6

    Nimeeleewa wazi lako but huoni ukijumuisha WOTE unawakosea na wale wasiofanya matendo hayo let say mtu akaja akasema wahindu WOTE wachafu kwa sababu mmoja wao alifanya tukio chafu haiwezi KUWA Sawa kwenye jamii. Tukemee ubaya tusiwatwike WOTE ubaya isipokuwa WOTE wamebainika na kuthibitika...
Back
Top Bottom