Habari Member wa Jf
Mimi ni Kijana kutokea Mbeya (29) nina Shahada ya Uchakataji na Uchenjuaji Madini
(Metallurgy and Mineral Procesing Engineering)
Ambapo naweza kufanya kazi kwenye:
- Plants za uchenjuaji (kama operator), Viwandani pamoja na kwenye maabara za madini.
Pia nina ujuzi...
Hizi ni kemikali zitumikazo kwenye migodi upande wa uchenjuaji wa madini sana sana madini ya dhahabu na wateja wake wengi ni watu wanaojihusisha na madini hayo..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.