Recent content by Vonso_Almeida

  1. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Keep on pushing..Mafanikio yanamfata anaehitaji..Bila kuchoka
  2. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Bila kuchoka
  3. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Salute mkuu
  4. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Shukran sana
  5. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Ahsante sana..Nimekimbiza kimbiza ili nisimchoshe msomaji..Ila kikubwa tukomae tu mpka mwisho
  6. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Hahaha..baba nilkomaa mpka kikaeleweka
  7. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Kwenye huu Uzi yapo mengi ambayo niliyaruka ili niskuchosbe msomaji..Issue ya Elimu ilgubikwa na changamoto nyingi sana..Nafas ambayo nilkua nayo facilities za kuwezesha elimu sikupata kulinganisha na ndugu yangu..Hali ya kulelewa na Bimaza pekee ilkua inachangamoto nyingi..So nili feli kwa...
  8. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Familia ndio moja ya kitu kinachotufanya vijana wengi twende kasi
  9. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Hahaha..Kweli kabsa.Ila rejea juu hapo nilidumu sehem kwa miaka 7😂
  10. Vonso_Almeida

    Stori ya Maisha yangu

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35. Kwenye harakati za utafutaji nilijarbu vitu kadhaa wa kadhaa ili kufikia ndoto. Nilkua mcheza Dance nikaacha nikawa mchoraji nikaacha, nikawa mcheza soka huko sikupata nafasi. Baada ya kumaliza elimu ya kidato cha 4 nikakosa nafasi ya kuendelea na elimu...
  11. Vonso_Almeida

    SoC04 Maulizo

    Kindly assist..Nafikiria kufungua duka la kuuza vyakula tu hili duka la Mangi..Msaada kujua mtaji kias gan napashwa kuanza nao..Na Vipi vya kuzingatia kusimamisha biashara?
  12. Vonso_Almeida

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Acha nae huyo kaka..Atakusababishia maafa makubwa sana..Chukua hatua za kumtema maana mnapoelekea ninkumdhuru yeye na pengne huyo mtoto..Achana nae huyu
  13. Vonso_Almeida

    Mkurugenzi wa LATRA anapata wapi nguvu ya kupingana na Rais? Serikali inakataza kufunga biashara, yeye anafungia mabasi 35 yasitoe huduma

    Kabla ya tamko la kufungiwa LATRA waliwapa internal info kuhusu mienendo yao..Hawa jamaa mbali na kutokutii sheria za mamlaka pia wana treat vibaya wateja wao..Hili la kufungiwa halijatokea bahati mbaya ila LATRA nadhan wameshafanya jitihada zote kuhakikisha jamaa wanarud kwenye mstari..ila cha...
  14. Vonso_Almeida

    Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

    Mm nilifatwq inbox na Manager akanipa mawasiliano ya Hr wake nikafanyiwa interview through the phone..Cha ajabu hadi leo sijaitwa😔
  15. Vonso_Almeida

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Aisee bonge la changamoto kikubwa tulia na ujioe mida wa kutafakari kwenye hicho kipindi cha likzo yako ili urudi na majibu yatakayo kuweka huru pande zote mbili
Back
Top Bottom