Make no mistake, anyone can change your OLAMS password and access your private data provided one has your phone number + form 4 index number.
HESLB should do something about this ASAP
"Hata hivyo, pamoja na Acacia kuanza kulipa kodi, inaidai Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dola za Marekani 120 milioni (zaidi ya Sh240 bilioni za sasa) ikiwa ni malimbikizo ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Akijibu maswali ya mwandishi wa habari hizi kuhusu utaratibu wa kampuni hiyo kulipa...
Hili swali huwa najiuliza sana, Naamini mtu aliyrsamehewa kwenye hiyo list ni mheshimiwa namba 9 yaan i mgombea wetu mtukufu. Sasa hao wengine vipi, ina maana na wao wametakaswa pia?
Au na wao walihojiwa kama namba 9?
Au nao pia wako UKAWA kimya kimya?
Ikitokea namba 9 kashinda, je...
Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa
Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary.
Thanks in advance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.