Recent content by von Neumann

  1. V

    OLAMS Website is not secure

    Make no mistake, anyone can change your OLAMS password and access your private data provided one has your phone number + form 4 index number. HESLB should do something about this ASAP
  2. V

    Kuhusu malipo ya kodi ya Acacia

    "Hata hivyo, pamoja na Acacia kuanza kulipa kodi, inaidai Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dola za Marekani 120 milioni (zaidi ya Sh240 bilioni za sasa) ikiwa ni malimbikizo ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT). Akijibu maswali ya mwandishi wa habari hizi kuhusu utaratibu wa kampuni hiyo kulipa...
  3. V

    Waziri anapewa heshima za mwisho Karimjee, Rais yuko Marekani

    Imeandikwa 'acheni wafu wawazike wafu wnzao'
  4. V

    List of shame yaondolewa kwenye tovuti ya CHADEMA

    Hili swali huwa najiuliza sana, Naamini mtu aliyrsamehewa kwenye hiyo list ni mheshimiwa namba 9 yaan i mgombea wetu mtukufu. Sasa hao wengine vipi, ina maana na wao wametakaswa pia? Au na wao walihojiwa kama namba 9? Au nao pia wako UKAWA kimya kimya? Ikitokea namba 9 kashinda, je...
  5. V

    Kabla ya kumpigia kura yeyote, soma hapa kwanza

    Uzi mzuri. UKAWA wote wasome hapa
  6. V

    Utafiti wa TADIP Urais 2015 wampa ushindi Lowassa kwa 54.5% dhidi ya Magufuli (40%)

    CCM will continue to f*** u for the next 10 years.. And Dr. Magufuli will be leading us, ur f***ers.. Sorry. It is the truth
  7. V

    Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Kujua kuongea kidhungu sio sifa ni utumwa fulan tuu.. Ndo maana kuna matranslator.. Hata ivo siasa za nje sio kiiengereza tu kuna kichina, kirusi, kiarabu, kifaransa ss nan anavijua vyote hivo. Lowassa au ?? Acheni #ulofa
  8. V

    Mfanyakazi, utaweza kumudu gharama za maisha kwa mshahara huu?

    Hata umuweke Lowassa, Slaa au mboewe siku zote huwezikuendelea kwa kutegemea mshahara wako uo wa kima cha chini.. ChekechA akili #mabadilikoNiWewe
  9. V

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Kikwete: Ukitaka kula na we lazima uliweee.😡😡😕 Makinda: Wanawake tulikuwa hatufiki kileleni JK katufikishaaa....😍 Magufuli: Jamani sintowaangusha kwani MBELE natosha NYUMA natosha. 😂 Mwenye nyingine aongeze, I'm out...
  10. V

    Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali

    Tuhuma ya kwanza ni kumiliki kadi ya uanachama wa CCM. Nyingine kama zipo nimemsamehe. Over
  11. V

    Kamusi ya kiswahili-kiingereza

    Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary. Thanks in advance
Back
Top Bottom