Mm namfaham Kuna mmoja alizuiliwa kuingia written kabisa kisa jina lake la kati Lina initia tu akaambiwa aende kwa mwanasheria,utumishi hawatabiriki n vyema ukajipanga vizuri wasijue wakakusuprize
Habari wanajamvi anahitajika mhudumu mwenye uzoefu wa huduma za uwakala wa simu na benki sharti awe na mdhamini na anaishi dar es salaam maeneo ya kibamba
Mwenye kukidhi vigezo aje pm
Pdf zenyewe wanatoa Moja Moja watakua washafulia hao,nakumbuka 2023 walikua wanatoa pdf kuanzia asubuh Hadi usiku wa manane ,ila mwaka huu hawana speed kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.