Recent content by volk

  1. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mm namfaham Kuna mmoja alizuiliwa kuingia written kabisa kisa jina lake la kati Lina initia tu akaambiwa aende kwa mwanasheria,utumishi hawatabiriki n vyema ukajipanga vizuri wasijue wakakusuprize
  2. V

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mhudumu wa huduma za uwakala

    Anahitajika yeyote mwenye uzoefu
  3. V

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mhudumu wa huduma za uwakala

    150,000
  4. V

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mhudumu wa huduma za uwakala

    Mbona hawaji
  5. V

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mhudumu wa huduma za uwakala

    Habari wanajamvi anahitajika mhudumu mwenye uzoefu wa huduma za uwakala wa simu na benki sharti awe na mdhamini na anaishi dar es salaam maeneo ya kibamba Mwenye kukidhi vigezo aje pm
  6. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pdf zenyewe wanatoa Moja Moja watakua washafulia hao,nakumbuka 2023 walikua wanatoa pdf kuanzia asubuh Hadi usiku wa manane ,ila mwaka huu hawana speed kabisa
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Budget itakuwepo kweli ya kuajiri watumishi wengi
  8. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndio wengi wanapata mbona ni bahati tu interview ya kwanza na hyo hyo anaitwa kazini
  9. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Women stage jitambeni

    Wewe utakua hauhudumii ipasavyo
  10. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Women stage jitambeni

    Umeoa kwanza?
  11. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu
  12. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwan mkuu PDF lenu ni Moja tu hakuna lingine?
  13. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizi shuhuda utumishi wanazihitaji sana kwenye page Yao ya Instagram
  14. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kumbe ndo huwa wanamaanisha hvyo
  15. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Acheni kujibizana matusi mnatuharibia Uzi wetu wenye upako
Back
Top Bottom