acha ushamba wewe,
una acha watu wanaiba mamilioni kwenye kampuni yenu una hangaika na fundi simu wa elfu ishirini.
jiongeze kijana na usipo kua makini utaishi kuajiriwa maisha yako yote.
wewe unadhani hizo codes yeye anatoa kichwani?
ni biashara hiyo hujui kwamba mnauza vocha na unlock pin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.