Putin kaishajichanganya kwa kuanza kufikiria kama USA & CO. Na nadhani wamempandikizia hizo fikra bila yeye kuelewa kwamba anacheza mziki wao.
Toka walipoanza kumsaidia Eukraine, USA & CO wamekuwa wakijifanya kumzuia EUKRAINE asipige ndani ya Rusia sababu hiyo itakuwa ni escalation, lakini pia...
Atakaa vikao sana, lakini kuingia kwenye vita ya muda mrefu namna hii kwa kutegemea wingi wa askari, Putin alichemsha sana.
1. Amesababisha vifo vya warusi wengi sana.
2. Amesababisha vifo vya wa ukraine wengi sana.
3. Na sasa more than 100,000 North Koreans wameingizwa kwenye conveyor belt.
ma bunker hayatamsaidia, Mabunker ya command posts za vikosi vinavyotaka kukomboa Kursk yamesambaratishwa na storm shadow.
Zelensky ni mkweli, "The missiles will speak for themselves"
Mkuu, Vita ni inevitable as long as you bring Satan into the picture.
But pointing finger to the USA & the West as causes for all the killing going on now more or else across the globe is a faulty thinking.
Hizi vita tayari zimeishakuwa consolidated.
1. Pale Gaza na Lebanon Israel anapigana na Iran, kwa jina la Jewish State Oppression.
2. Vita hiyo inapaganwa Mpaka RED SEA ambako Iran kwa jina la Houth Lebels inapambana na USA & Co.
3. Ukraine na Rusia ni battle grounds tu, lakini washirika ni...
Umesahau yafuatayo.
1. kwamba hii operation ilitakiwa kumalizika ndani ya Siku tano.
2. Kwamba Urusi inapokea Siraha kutoka North Korea, Iran & Technology kutoka China, Ulaya na America.
3. Kwamba siraha zote alizopewa Ukraine ni kwa masharti zisitumike ndani ya Urusi.
Nadhani sasa ndio muda...
Msimu uliopita tulikuwa na tatizo la "collection of untrainable team", namna hawa makocha wamekusanywa inaweza kuwa imetengenezwa tatizo lingine, sijaelewa niliiteje.
lakini kwa kifupi, kuna hatari kukawa na complicated conflict of interests, sababu wameletwa pale watu ambao self ambitions zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.