Recent content by Voice of Voiceless

  1. Voice of Voiceless

    Waziri Mkuu Majaliwa apiga marufuku mikutano ya kisiasa

    Hizo zote ni hofu za CCM kwa wanaojua fika ushindi wao ni wa wizi na kulazimisha. Time will tell!
  2. Voice of Voiceless

    Kwa Prof Muhongo na Mwakyembe, Rais Kateleza kuwateua kwenye Baraza

    Aheri kuwa masikini mfukoni kuliko kuwa masikini kichwani. Ni muda mfupi tu tushasahau tulipotoka na tumebaki kushabikia ujinga. Mijitu inakashfa za wazi kabisa leo tunawaona wengine kwenye Wizara ile ile. Je, kuna umakini hapa?
  3. Voice of Voiceless

    Edward Lowassa atoweka ghafla kwenye media nchini

    Ni mpumbavu tu mwenye kushabikia yanayotokea leo kwenye Taifa hili. Hakuna cha kujivunia katika Taifa hili zaidi ya ujinga. Ujinga wetu ndiyo gharama yetu. unapoona mzawa wa Taifa hili anaishi kama mtumwa na mgeni kwenye nchi yake uelewa hakuna uhuru bali utumwa. Ajabu ni pale unapoona...
  4. Voice of Voiceless

    Waziri wa Fedha ndie kila kitu, Magufuli akichemsha hili, basi

    Hakuna jipya ndani na katika CCM. Wenye ndoto za akina Abunuasi ndiyo waliobaki kusubiri mkono udondoke kama yalivyo matumaini ya fisi. Tupo kwenye Taifa lisilo na mwelekeo wala vipaumbele. Ujinga wetu ndiyo gharama yetu.
  5. Voice of Voiceless

    Nini maoni yako" specificaly" kuhusu kauli hii ya Nape?

    Ndugu wenye hofu ya Mungu. Kumwita mwenzako marehemu ni kejeri ya hali ya juu mwanadamu kufanya. Kuzaliwa si lazima ila kufa ni lazima. Kwa mantiki hii sisi sote tunaopumua sasa na wakati huu ni marehemu watarajiwa. Iweje basi nimkejeli binadamu mwenzangu? Yatupasa kuweka pembeni itikani zetu...
  6. Voice of Voiceless

    Waandishi wa Habari mliokuwa Serena, Leo mmeumbuka na pesa za hongo zimewatokea puani

    CENTAMYCINE: yakupasa uelewe jambo hili, "Hakuna swali la kijinga, ila yapo majibu ya kijinga."
  7. Voice of Voiceless

    IGP Mangu: Marufuku kuwa na Vikundi vya Ulinzi vya Vyama vya siasa kwani ni kinyume cha Katiba na Sheria ya nchi

    Kama police wenyewe wanavyata kwa majambazi, Iweje kwa raia na ulinzi wake hasa kwa mfumo huu hovyo?
  8. Voice of Voiceless

    CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

    Unatupasha habari au unatuletea umbea?
  9. Voice of Voiceless

    Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    Mchumipesa umenena. Hawana tena la kutudanganya. Ni sawa na mbwa Mzee. "You cannot teach an old dog new tricks."
  10. Voice of Voiceless

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Kwa kweli tulipofikia kama Taifa inaisha. Kama kunakuwa na upendeleo huu wa wazi kabisa, je haki itatendeka huko tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu?
  11. Voice of Voiceless

    Zinduka: Siasa inanunua watu, Polepole naye kanunuliwa

    Ukweli ni kwamba Tanzania ya leo huwezi ukamdanganya mtu kirahisi kama ilivyozoeleka hapo awali.
  12. Voice of Voiceless

    Pigo jingine kwa Team Lowassa: Christopher Ole Sendeka akana kuhama CCM

    Mimi binafsi namshangaa sana huyu Lizaboni. Mitazamo yake na fikra zake mara zote huwa na utata. Ni kweli hatuwezi kufikiri sawa na hata kuwa na maono sawa, ila jamaa huyu fikra zake na maono yake mara zote hukinzana.
  13. Voice of Voiceless

    Kura yamuumbua Spika Anne Makinda

    Ndugu umenena vyema!
Back
Top Bottom