Inategemea njia zilizotumika kuwaandaa. Wamendaliwa waje kufikiri na kutenda kwa namna gani.
Kila kitu ni matokeo ya mchakato wa inputs, process, time na mazingira. Kuwalaumu wao naamini kwa kiasi kikubwa sio sahihi sana.
Mtoa mada inawezekana una ajenda binafsi, kwanini umekumbilia abadilishiwe baadala ya kutoa ushauri namna ya kuboresha huduma?. Inawezekana ukawa mmoja ya waliokataliwa kubadilisha taarifa kutoka zile za kweli kwenda za uongo kwa manufaa yako binafsi au mrundi uliekataliwa kupewa kitambulisho...
Kuna mtu alinipanga tufanye biashara pamoja mimi nitoe mtaji yeye atasimamia. Alinipa business idea very impressive nikazama benki nikampa Milioni 3 akachukue mzigo. Tangu 2012 hadi leo sijamuona. Kuwa makini na ushauri
Kama zina ufanisi kwanini waliochanja na wailsiochanja wote wanaumwa?. Weledi unapotea zimebaki siasa na kulinda maslahi ya mfadhili mkuu wa Shirika kwa gharama ya afya zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.