Recent content by vngenge

  1. V

    Makapi ya mafuta si misingi ya Taifa

    Inategemea njia zilizotumika kuwaandaa. Wamendaliwa waje kufikiri na kutenda kwa namna gani. Kila kitu ni matokeo ya mchakato wa inputs, process, time na mazingira. Kuwalaumu wao naamini kwa kiasi kikubwa sio sahihi sana.
  2. V

    Mkurugenzi wa NIDA abadilishwe ili kuongeza mapato na ufanisi ili ijitegemee na kupeleka mapato serikalini kama TRA

    Mtoa mada inawezekana una ajenda binafsi, kwanini umekumbilia abadilishiwe baadala ya kutoa ushauri namna ya kuboresha huduma?. Inawezekana ukawa mmoja ya waliokataliwa kubadilisha taarifa kutoka zile za kweli kwenda za uongo kwa manufaa yako binafsi au mrundi uliekataliwa kupewa kitambulisho...
  3. V

    Mke wangu kasema nafeli; je, nafeli wapi?

    Hapo pia atatafuta mwingine wa kuiendeleza. Arudishe frem kwa kanisa tu
  4. V

    Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

    Acha wote, anza upya. Waambie woteumegundua hawana sifa unazotaka
  5. V

    Ndugu yangu amenipa sharti la kuacha kazi ya kuajiriwa ili anipe mtaji wa Tshs 200M nianze shughuli yangu mwenyewe lakini sijui nifanye shughuli gani!

    Kuna mtu alinipanga tufanye biashara pamoja mimi nitoe mtaji yeye atasimamia. Alinipa business idea very impressive nikazama benki nikampa Milioni 3 akachukue mzigo. Tangu 2012 hadi leo sijamuona. Kuwa makini na ushauri
  6. V

    WHO: Chanjo zilizopo zina ufanisi dhidi ya Omicron

    Kama zina ufanisi kwanini waliochanja na wailsiochanja wote wanaumwa?. Weledi unapotea zimebaki siasa na kulinda maslahi ya mfadhili mkuu wa Shirika kwa gharama ya afya zetu
Back
Top Bottom