hakujawahi kuwepo dawa ya virusi duniani ndo maana suluhisho la kudumu ni chanjo.kinyume chake ni madawa ya kufubaza kirusi.Dawa ya madagascar kama inatibu huitaji kutumia nguvu at WHO hawajaipitisha.kwan mitishamba wameipitisha mbona tunatumia? nchi iliyokuwa ya kwanza kuchuukua dawa yao bado...
mkemia mkuu wa serikali siyo kazi yake kupima kama dawa inatibu au la.Anachofanya kupima kama ina sumu kwa binadamu au la.waganga wa kienyeji mara nyingi hupeleka dawa zao huko kwa ajili hiyo
ndugu jiamini usiwe mwoga kila ukiona ngozi nyeupe.siyo kila mzungu ni mwekezaji.sijaona cha hasa kumsifia kifo kipo hata kama una pesa kiasi gani.yaani wahindi watu wa hovyo
bora angekuwa mwingine
wa moro wakaribie wa dar tumeshiriki vipi? nadhani kuna haja ya kujitafakari na kuona jinsi ya kusonga mbele.sijui ni kwa jinsi gani uongozi umeshiriki au jumuiya imeshirikije kwa tatizo la Melo.tufikirie mara 2 leo mm kesho wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.