Kiufupi zamani walikuwa wanachana na huyo dully ndo alianzisha kuimba bongo fleva miaka 1998 hv had 2000 apo huyo dully ni wa kitambo we unamchukuliaje.
Hivi jiwe ule mvuto alitoa wapi sijawahi kuona Raisi anayekubalika na wanachi wengi vijijini ambapo 70% ya watz na mijini jamaa alikuwa anakubalika sana.
Msimu huu tubadilike hizi market za win sijui over hamna kitu na sio kwamba timu zinauza mechi ila nw timu nyingi zina uwezo kipesa zinasajili wachezaji bora tabora kampiga azam,yanga, singida kwa sababu ya top player na ulaya hivo hivo nw pale england kibonde ni soton tu mwingine yyt anakupiga...
Umenikumbusha mbali sana mkuu adolf hitler alijaribu kuiteka urusi akiamini urusi ni heartland ukiikotro urusi basi umeitawala dunia nzima lakini ndo ukawa mwisho wake.
Unataka warusi wafanyaje kam askari wa assad hawatak kupigana hao waasi wana silaha duni jeshi lina kila kitu then wanaachia tu maeneo hio imewakatisha tamaa urusi na irani. Urusi pia ana vita kwake.
Bookies hawajawahi chemka juzi barca alipewa odd 3 so utasema walichemka na hizo odd za yanga so we ukiona hivo fata kama unajiamini wao wanatumia hesabu.ww unatumia hisia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.