Ni huko Sabasaba, sisi huku vijijini
Kijiji cha malamba
Kata ya Ruiwa
Wilaya ya mbarali
Mkoa wa Mbeya.
Tulitapeliwa na Wizara hiyo.
Tulipewa hati miliki za kimila za mashamba.
Lakini cha ajabu serikali ya kijiji ilitugeuka.
Mashamba ni yetu lakini wapangaji wa matumizi ya mashamba ni...
Siku hizi hata kama una PhD,
Hiyo ni document yako.
Kupata ajira ya ualimu kuna masharti matatu ya nguvu:-
1) umahiri wako
2) nani anayekujua
3) nani Unayemjua
Katika jiji la MBEYA
Tunashindwa kujua USALAMA BARABARANI MSIMAMIZI NI NANI.
Kuna hivi vigari vya tairi tatu.
Maarufu bajaji uhusiano wavyo na usalama barabarani haupo kabisa.
Mbele ya askari wa usalama barabarani hizo bajaji zina over take kushoto, na cha ajabu zikiwa na abiria ndani...
I agree with Stephen hawking.
Reason:- whatever we know or perceive is the product of creation.
The entire universe is a creation.
AND GOD IS NOT PART OF THE CREATION.
SO THAT GOD DOES NOT EXIST IN THIS UNIVERSE IS LOGICALLY TRUE.
IF YOU MAKE A FOOT BALL FOR ANY PURPOSE, THEN AFTER THAT YOU ARE...
Reasoning ipi unayozungumzia?
Pengine mtu alikuwa na uso mzuri tu,
Akapata ajali na mdomo ukatokea,au alikuwa na matako safi mazuri tu ajali nyingine ikampa sehemu ya haja kubwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.