Kwan kigwangala umeambiwa kuongoz mgomo ndo kigezo cha kupewa ukatibu??, vp wakobwa ccm na huyu wa chadema nani ana cv kali? Eti na wwe ni msomi unatoa hizi hoja ,, kwel it will take ages for this country to develo
Mdau umeeleza vizuri sana tena kitaalamu ,, sema watu wana mzuka katka arguments zao kwngu naona ni ushauri mzuri kwa serikali kwani kuongoza nchi ni zaidi ya kutumbua majipu, tunapongeza juhudi za serikali lakini lazma waangalie na upande wa pili
Ninachosema hapa, somo la hesabu halina walimu wa kutosha ukilinganisha na masomo mengine, sasa litakuwaje la kwanza wakat masomo mengne yana walimu wengi, ila sijasema hilo ni tatizo peke yake yapo na mengine
Hapo hakuna jibu la haraka, kinachotakiwa kwa mawazo yangu ni uwekezaji tu, siyo kwamba hatuna walimu wa sayansi ila watu wenye kufundisha hesabu wanaenda kwenye kada nyingine kwa kuwa ualimu hauwalipi vizuri,, serikar iboreshe masilahi ya walimu ili mtu asione tofauti kubwa ya maslahi na...
Ndugu yangu hao unaowasema watumbuliwe ni wa ngapi? Shule nyingi za kata mwalimu wa hesabu hazidi mmja , unategemea muujiza hapo kufaulu?, angalia hata somo la geog walimu kibao bdo wanafeli.
Swala la kufeli mtoto linahusisha serikali, mzazi, utawala shuleni, mwalimu na mwanafunzi mwenyewe
Ndugu yangu najua wwe siyo mwalimu ndo maana unadhani wanafeli kwa kuwa hata walimu hawalijui hebu angalia hayohayo matokeo kwnye somo la civics wamefanyaje kisha urudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.