Yeah uko sawa mkuu,,, ila kwa daraja lilipo niseme ni ngumu kuanzisha route kutoka/kuanzia kivukoni eidha iwe kivukoni ya kigamboni au hata ya Magogoni,,,, Upande wa Kigamboni daraja lipo mbali sana na kivukoni,, jaribu kutembelea maeneo ya Tungi na kishiwani utaielewa vizuri geographia ya...